Wakati wa Rais mpendwa John Magufuli kulihutubia Bunge (State of the Nation Address) ni sasa

Addis Ababas

JF-Expert Member
Aug 5, 2018
351
353
Vituo vya afya vya kihistoria vinajengwa nchi nzima, mabarabara, elimu bila malipo, Steigler's umeme, usalama nchini upo, democracy imeimarika na wapinzani hawana mbadala bali ni kuunga mkono, ufisadi unapigwa vita kwa vitendo, watu wanachapa kazi na chakula kipo cha kutosha, Dodoma inachanua...

JPM Wakati ni sasa wa kuliambia Taifa kupitia Bunge kuwa, "Tanzania inachanua."

Matusi ruksa, usipate shida kujizuia!
 
Vituo vya afya vya kihistoria vinajengwa nchi nzima, mabarabara, elimu bila malipo, Steigler's umeme, usalama nchini upo, democracy imeimarika na wapinzani hawana mbadala bali ni kuunga mkono, ufisadi unapigwa vita kwa vitendo, watu wanachapa kazi na chakula kipo cha kutosha, Dodoma inachanua...

JPM Wakati ni sasa wa kuliambia Taifa kupitia Bunge kuwa, "Tanzania inachanua."

Matusi ruksa, usipate shida kujizuia!
Matusi ruksa, ngoja nipite haraka kabla sijatukanwa
 
Vituo vya afya vya kihistoria vinajengwa nchi nzima, mabarabara, elimu bila malipo, Steigler's umeme, usalama nchini upo, democracy imeimarika na wapinzani hawana mbadala bali ni kuunga mkono, ufisadi unapigwa vita kwa vitendo, watu wanachapa kazi na chakula kipo cha kutosha, Dodoma inachanua...

JPM Wakati ni sasa wa kuliambia Taifa kupitia Bunge kuwa, "Tanzania inachanua."

Matusi ruksa, usipate shida kujizuia!
Ni kweli hiyo miradi unayosema ilitakiwa ijengwe lakini pia wananchi wanatakiwa wawe na purchasing power.
Yani pakiwa na ndege siku moja mtu anaweza kusema kuwa anatoka Mtwara anaenda kula bata Mwanza. Mfukoni awe na pesa. Mtu awe na uwezo wa kula Milo mitatu kwa siku. Maendelo ya watu ndio ya kwanza kabisa. Ndio maana hata China na India walipita kwenye vipindi ambapo watu walikua wanasafirishana kwa mikokoteni ,maguta,kubebana migongoni kwa pesa ,Treni za kizamani ,mabasi ya kizamani ,barabara duni n.k lakini hawajukimbilia kukopa na kuingia kwenye madeni makubwa mana walijua kuwa uwezo wa watu wao kiuchumi ,kielimu na kiteknolojia ulikua bado uko Chini sana. Walianza kuwasomesha vijana wao hasa elimu ya Juu na ya kati kwenye mataifa yaliyokua yamesonga mbele kitekinolojia . Walichukua muda mfupi baada ya kuwa na wataalam wa kutosha kuinuka kiuchumi na kukimbia .

Leo hii kwetu Afrika hata wataalam wanaojenga hayo mabwawa ni kutoka nje, wanaojenga reli ni kutoka nje,ndege za mabilioni tunanunua huko huko. Vyuma vya reli tunanunua, mashine za kuzalisha umeme wa maji tunanunua huko huko!
Mashine za kukusanya kodi tunanunua huko nje , Mifumo yote ya kimawasiliano tunanunua huko. Magari ya misafara ya viongozi wetu tunayanunua huko. Pesa za kodi zetu zinaishia huko na zile tunazokopa ili tuanzishe miradi ya kiserikali ambayo pia itatusumbua mana bado tutahitaji teknolojia ya kuiendesha kutoka nje kwa gaharama kubwa. Tunakimbilia vitu vya kifahari kwa gharama kubwa sana huku wananchi wakiendelea kuwa maskini na wasio na matumaini kwa kukosa furaha ya Uhuru wa taifa lao walilopewa na Mungu.

Miradi ya kibiashara itatumia muda mrefu kuanza kupata faidi kutokana na kulipa madeni. Na huenda wakati huo madeni hayo yatakapo isha Dunia itakua imebadilisha teknolojia na tunayoiona ni bora Leo itakua imepitwa sana na wakati.
Na ndio maana wazungu na wachina wanakazana kutuletea ma teknolojia yao ya zamani kwa mikopo mikubwa na sisi tunayafurahia lakini wenzetu wameshagundua kuwa miaka kadhaa ijayo hawatakua wanazitumia tena na watatushawishi tena tukope ili tuendane na teknolojia ya miaka hiyo.

Afrika tulitakiwa tujikite kwenye Kilimo, utalii, uchimbaji mdogo wa madini, Kusomesha vijana wetu huko kwa wenzetu angalau kila mwaka pawe na Scholarship za wanafunzi elfu 40 wa fani mbalimbali kwa miaka saba mfululizo. Hakika baada ya miaka 20 ijayo uchumi wa Afrika na teknolojia ingenadilika na kuinuka.
Umuhimu wa kuwekeza sana kwenye Elimu tunauona kwa mfano tu awamu ya tatu na nne kwenye Sekta ya afya vijana wengi walosomeshwa nje ya nchi ndio Leo hii wameifanya Muhimbili kuwa hospitali bora kabisa ukanda huu wa Afrika mashariki. Ilitakiwa tusiishie hapo tuhamie kwenye ,uhandisi, utaalam wa mawasiliano,utaalam wa madini,utaalam wa mafuta na gesi utaalam wa kilimo,utaalam wa mifugo,utaalamu wa biashara n.k. Baadae miundo mbinu ya reli, Umeme,n.k tungeijenga wenyewe bila kuwahitaji hao wachina wanaotuandaa kuwa koloni lao . Mfano tuna Makaa ya Mawe na Chuma lakini hatujawekeza kwa vijana wetu kusomea masuala ya utengenezaji wa chuma ili baada ya muda mfupi ujao tuanze kutengeneza chuma wenyewe na kuuza nje ya nchi.
Kwa sasa Afrika tunawekeza kwenye siasa na utawala. Hakuna kiongozi anayewekeza kwenye maarifa,fikra na teknolojia ya vijana wa taifa lake mana ni mambo yasiyoonekana kwa macho na kwa muda wa miezi sita na kuanza kuyatumia kama kiki za kupata kura za wananchi wengi ambao hata umuhimu wa elimu bado hawauoni.
Ndio maana Leo hii ni rahisi kabisa kuwaambia waafrika kuwa pesa za kuwasomesha vijana wetu chuo Kikuu ambapo wanapata maarifa na ujuzi mkubwa ,tumezijengea barabara na wananchi wanashangilia. Mana hawajui umuhimu wa Elimu kuwa watu wenye elimu watakuja kujenga barabara zao wenyewe kwa gharama ndogo zaidi.

Ingekua miundombinu ya kuletewa na wachina kwa mikopo au kuwanyonya wananchi ingekua inainua uchumi wa nchi na wananchi wake Leo hii Ethiopia ingekua na viwanda vingi na mabilionea wa kutosha. Kila kitu dukani kingekua kimeandikwa Made in Ethiopia. Taifa hilo la Ethiopia lingekua linatoa ajira kubwa kwa vijana wake, kuinua vipaji vya vijana wao na huduma bora kwa wananchi wake. Lakini chaajabu hata mkongo aliyeko Kinshasa ana maisha ya furaha na uhakika wa kuishi kuliko Muethiopia aliyeko Addis ababa. Matokeo yake waEthiopia wengi wanakimbilia Afrika kusini kutajirika na sio China wala Korea au Urusi ambapo wameiga sana mifumo yao ya kiutawala.

Afrika hatutakuja kuwa na maendeleo ya kweli ya watu mana hatuwekezi kwenye elimu na Teknolojia .Lakini pia hatuwekezi kwa wale wachache wenye uwezo na vipaji binafsi. Leo hii kuna Waafrika wenzetu wanauwezo mkubwa wa kufanya biashara na kushindana na wahindi lakini wanasiasa na serikali zetu zinawapiga vita sana na hata kujenga mazingira ya kuwafilisi na kuwaona kama ni wanyonyaji na wezi kwa sababu tu ya tofauti za kisiasa. Kwa mfano hapa kwetu kuna watu walitakiwa wapewe sapoti kubwa zaidi ili wajitanue na kuwekeza huko Kongo, Sudani, Komoro, Zambia n.k. Hao walitakiwa walindwe kwa nguvu zote na hata kupunguziwa kodi kwa lengo la kuwafanya wateke soko la nchi zote za kusini mwa jangwa la sahara.
 
Vituo vya afya vya kihistoria vinajengwa nchi nzima, mabarabara, elimu bila malipo, Steigler's umeme, usalama nchini upo, democracy imeimarika na wapinzani hawana mbadala bali ni kuunga mkono, ufisadi unapigwa vita kwa vitendo, watu wanachapa kazi na chakula kipo cha kutosha, Dodoma inachanua...

JPM Wakati ni sasa wa kuliambia Taifa kupitia Bunge kuwa, "Tanzania inachanua."

Matusi ruksa, usipate shida kujizuia!

Kuna definition nyingne ya democracy?
Wale wanaokotwa kwenye sandarusi Koko beach ni wa nchi gani?
Tundu Lissu alijeruhiwa nchi gani?
 
Kuna definition nyingne ya democracy?
Wale wanaokotwa kwenye sandarusi Koko beach ni wa nchi gani?
Tundu Lissu alijeruhiwa nchi gani?
Tuambie wewe ni wa nchi gani?
Dereva Wa Tundu lissu yuko wapi?
 
Vituo vya afya vya kihistoria vinajengwa nchi nzima, mabarabara, elimu bila malipo, Steigler's umeme, usalama nchini upo, democracy imeimarika na wapinzani hawana mbadala bali ni kuunga mkono, ufisadi unapigwa vita kwa vitendo, watu wanachapa kazi na chakula kipo cha kutosha, Dodoma inachanua...

JPM Wakati ni sasa wa kuliambia Taifa kupitia Bunge kuwa, "Tanzania inachanua."

Matusi ruksa, usipate shida kujizuia!

Hapambani na ufisadi bali matumizi ya neno fisadi. Halafu asisahau kusema amekopa shilingi ngapi toka aingie madarakani illi tufananishe na miradi iliyopo, na atuambie hilo deni lake huenda likalipwa baada ya muda gani.
 
Ni kweli hiyo miradi unayosema ilitakiwa ijengwe lakini pia wananchi wanatakiwa wawe na purchasing power.
Yani pakiwa na ndege siku moja mtu anaweza kusema kuwa anatoka Mtwara anaenda kula bata Mwanza. Mfukoni awe na pesa. Mtu awe na uwezo wa kula Milo mitatu kwa siku. Maendelo ya watu ndio ya kwanza kabisa. Ndio maana hata China na India walipita kwenye vipindi ambapo watu walikua wanasafirishana kwa mikokoteni ,maguta,kubebana migongoni kwa pesa ,Treni za kizamani ,mabasi ya kizamani ,barabara duni n.k lakini hawajukimbilia kukopa na kuingia kwenye madeni makubwa mana walijua kuwa uwezo wa watu wao kiuchumi ,kielimu na kiteknolojia ulikua bado uko Chini sana. Walianza kuwasomesha vijana wao hasa elimu ya Juu na ya kati kwenye mataifa yaliyokua yamesonga mbele kitekinolojia . Walichukua muda mfupi baada ya kuwa na wataalam wa kutosha kuinuka kiuchumi na kukimbia .

Leo hii kwetu Afrika hata wataalam wanaojenga hayo mabwawa ni kutoka nje, wanaojenga reli ni kutoka nje,ndege za mabilioni tunanunua huko huko. Vyuma vya reli tunanunua, mashine za kuzalisha umeme wa maji tunanunua huko huko!
Mashine za kukusanya kodi tunanunua huko nje , Mifumo yote ya kimawasiliano tunanunua huko. Magari ya misafara ya viongozi wetu tunayanunua huko. Pesa za kodi zetu zinaishia huko na zile tunazokopa ili tuanzishe miradi ya kiserikali ambayo pia itatusumbua mana bado tutahitaji teknolojia ya kuiendesha kutoka nje kwa gaharama kubwa. Tunakimbilia vitu vya kifahari kwa gharama kubwa sana huku wananchi wakiendelea kuwa maskini na wasio na matumaini kwa kukosa furaha ya Uhuru wa taifa lao walilopewa na Mungu.

Miradi ya kibiashara itatumia muda mrefu kuanza kupata faidi kutokana na kulipa madeni. Na huenda wakati huo madeni hayo yatakapo isha Dunia itakua imebadilisha teknolojia na tunayoiona ni bora Leo itakua imepitwa sana na wakati.
Na ndio maana wazungu na wachina wanakazana kutuletea ma teknolojia yao ya zamani kwa mikopo mikubwa na sisi tunayafurahia lakini wenzetu wameshagundua kuwa miaka kadhaa ijayo hawatakua wanazitumia tena na watatushawishi tena tukope ili tuendane na teknolojia ya miaka hiyo.

Afrika tulitakiwa tujikite kwenye Kilimo, utalii, uchimbaji mdogo wa madini, Kusomesha vijana wetu huko kwa wenzetu angalau kila mwaka pawe na Scholarship za wanafunzi elfu 40 wa fani mbalimbali kwa miaka saba mfululizo. Hakika baada ya miaka 20 ijayo uchumi wa Afrika na teknolojia ingenadilika na kuinuka.
Umuhimu wa kuwekeza sana kwenye Elimu tunauona kwa mfano tu awamu ya tatu na nne kwenye Sekta ya afya vijana wengi walosomeshwa nje ya nchi ndio Leo hii wameifanya Muhimbili kuwa hospitali bora kabisa ukanda huu wa Afrika mashariki. Ilitakiwa tusiishie hapo tuhamie kwenye ,uhandisi, utaalam wa mawasiliano,utaalam wa madini,utaalam wa mafuta na gesi utaalam wa kilimo,utaalam wa mifugo,utaalamu wa biashara n.k. Baadae miundo mbinu ya reli, Umeme,n.k tungeijenga wenyewe bila kuwahitaji hao wachina wanaotuandaa kuwa koloni lao . Mfano tuna Makaa ya Mawe na Chuma lakini hatujawekeza kwa vijana wetu kusomea masuala ya utengenezaji wa chuma ili baada ya muda mfupi ujao tuanze kutengeneza chuma wenyewe na kuuza nje ya nchi.
Kwa sasa Afrika tunawekeza kwenye siasa na utawala. Hakuna kiongozi anayewekeza kwenye maarifa,fikra na teknolojia ya vijana wa taifa lake mana ni mambo yasiyoonekana kwa macho na kwa muda wa miezi sita na kuanza kuyatumia kama kiki za kupata kura za wananchi wengi ambao hata umuhimu wa elimu bado hawauoni.
Ndio maana Leo hii ni rahisi kabisa kuwaambia waafrika kuwa pesa za kuwasomesha vijana wetu chuo Kikuu ambapo wanapata maarifa na ujuzi mkubwa ,tumezijengea barabara na wananchi wanashangilia. Mana hawajui umuhimu wa Elimu kuwa watu wenye elimu watakuja kujenga barabara zao wenyewe kwa gharama ndogo zaidi.

Ingekua miundombinu ya kuletewa na wachina kwa mikopo au kuwanyonya wananchi ingekua inainua uchumi wa nchi na wananchi wake Leo hii Ethiopia ingekua na viwanda vingi na mabilionea wa kutosha. Kila kitu dukani kingekua kimeandikwa Made in Ethiopia. Taifa hilo la Ethiopia lingekua linatoa ajira kubwa kwa vijana wake, kuinua vipaji vya vijana wao na huduma bora kwa wananchi wake. Lakini chaajabu hata mkongo aliyeko Kinshasa ana maisha ya furaha na uhakika wa kuishi kuliko Muethiopia aliyeko Addis ababa. Matokeo yake waEthiopia wengi wanakimbilia Afrika kusini kutajirika na sio China wala Korea au Urusi ambapo wameiga sana mifumo yao ya kiutawala.

Afrika hatutakuja kuwa na maendeleo ya kweli ya watu mana hatuwekezi kwenye elimu na Teknolojia .Lakini pia hatuwekezi kwa wale wachache wenye uwezo na vipaji binafsi. Leo hii kuna Waafrika wenzetu wanauwezo mkubwa wa kufanya biashara na kushindana na wahindi lakini wanasiasa na serikali zetu zinawapiga vita sana na hata kujenga mazingira ya kuwafilisi na kuwaona kama ni wanyonyaji na wezi kwa sababu tu ya tofauti za kisiasa. Kwa mfano hapa kwetu kuna watu walitakiwa wapewe sapoti kubwa zaidi ili wajitanue na kuwekeza huko Kongo, Sudani, Komoro, Zambia n.k. Hao walitakiwa walindwe kwa nguvu zote na hata kupunguziwa kodi kwa lengo la kuwafanya wateke soko la nchi zote za kusini mwa jangwa la sahara.

Ofcourse nimekuelewa sana ndugu, unalolisema lina maana kubwa sana, hivyo serikali zetu zapaswa kubadilika na kuachana na upuuzi tunaoufanya hivi sasa kufanyiwa kila kitu hasa upande wa kitaaluma hususani uhandisi na tiba, mfano mzuri UDSM chuo mama hapa tz na maarufu kwa utoaji wahandisi (COET) lakin cha ajabu unakuta barabara zake lami zimechoka balaa angali wahandisi wanfunzi wapo paspo kuzifanyia hata ukarabati kama sehemu ya mazoez yao duh!
Tunapaswa kubadilikaa saana kimfumo hasa academically,
 
Ni kweli hiyo miradi unayosema ilitakiwa ijengwe lakini pia wananchi wanatakiwa wawe na purchasing power.
Yani pakiwa na ndege siku moja mtu anaweza kusema kuwa anatoka Mtwara anaenda kula bata Mwanza. Mfukoni awe na pesa. Mtu awe na uwezo wa kula Milo mitatu kwa siku. Maendelo ya watu ndio ya kwanza kabisa. Ndio maana hata China na India walipita kwenye vipindi ambapo watu walikua wanasafirishana kwa mikokoteni ,maguta,kubebana migongoni kwa pesa ,Treni za kizamani ,mabasi ya kizamani ,barabara duni n.k lakini hawajukimbilia kukopa na kuingia kwenye madeni makubwa mana walijua kuwa uwezo wa watu wao kiuchumi ,kielimu na kiteknolojia ulikua bado uko Chini sana. Walianza kuwasomesha vijana wao hasa elimu ya Juu na ya kati kwenye mataifa yaliyokua yamesonga mbele kitekinolojia . Walichukua muda mfupi baada ya kuwa na wataalam wa kutosha kuinuka kiuchumi na kukimbia .

Leo hii kwetu Afrika hata wataalam wanaojenga hayo mabwawa ni kutoka nje, wanaojenga reli ni kutoka nje,ndege za mabilioni tunanunua huko huko. Vyuma vya reli tunanunua, mashine za kuzalisha umeme wa maji tunanunua huko huko!
Mashine za kukusanya kodi tunanunua huko nje , Mifumo yote ya kimawasiliano tunanunua huko. Magari ya misafara ya viongozi wetu tunayanunua huko. Pesa za kodi zetu zinaishia huko na zile tunazokopa ili tuanzishe miradi ya kiserikali ambayo pia itatusumbua mana bado tutahitaji teknolojia ya kuiendesha kutoka nje kwa gaharama kubwa. Tunakimbilia vitu vya kifahari kwa gharama kubwa sana huku wananchi wakiendelea kuwa maskini na wasio na matumaini kwa kukosa furaha ya Uhuru wa taifa lao walilopewa na Mungu.

Miradi ya kibiashara itatumia muda mrefu kuanza kupata faidi kutokana na kulipa madeni. Na huenda wakati huo madeni hayo yatakapo isha Dunia itakua imebadilisha teknolojia na tunayoiona ni bora Leo itakua imepitwa sana na wakati.
Na ndio maana wazungu na wachina wanakazana kutuletea ma teknolojia yao ya zamani kwa mikopo mikubwa na sisi tunayafurahia lakini wenzetu wameshagundua kuwa miaka kadhaa ijayo hawatakua wanazitumia tena na watatushawishi tena tukope ili tuendane na teknolojia ya miaka hiyo.

Afrika tulitakiwa tujikite kwenye Kilimo, utalii, uchimbaji mdogo wa madini, Kusomesha vijana wetu huko kwa wenzetu angalau kila mwaka pawe na Scholarship za wanafunzi elfu 40 wa fani mbalimbali kwa miaka saba mfululizo. Hakika baada ya miaka 20 ijayo uchumi wa Afrika na teknolojia ingenadilika na kuinuka.
Umuhimu wa kuwekeza sana kwenye Elimu tunauona kwa mfano tu awamu ya tatu na nne kwenye Sekta ya afya vijana wengi walosomeshwa nje ya nchi ndio Leo hii wameifanya Muhimbili kuwa hospitali bora kabisa ukanda huu wa Afrika mashariki. Ilitakiwa tusiishie hapo tuhamie kwenye ,uhandisi, utaalam wa mawasiliano,utaalam wa madini,utaalam wa mafuta na gesi utaalam wa kilimo,utaalam wa mifugo,utaalamu wa biashara n.k. Baadae miundo mbinu ya reli, Umeme,n.k tungeijenga wenyewe bila kuwahitaji hao wachina wanaotuandaa kuwa koloni lao . Mfano tuna Makaa ya Mawe na Chuma lakini hatujawekeza kwa vijana wetu kusomea masuala ya utengenezaji wa chuma ili baada ya muda mfupi ujao tuanze kutengeneza chuma wenyewe na kuuza nje ya nchi.
Kwa sasa Afrika tunawekeza kwenye siasa na utawala. Hakuna kiongozi anayewekeza kwenye maarifa,fikra na teknolojia ya vijana wa taifa lake mana ni mambo yasiyoonekana kwa macho na kwa muda wa miezi sita na kuanza kuyatumia kama kiki za kupata kura za wananchi wengi ambao hata umuhimu wa elimu bado hawauoni.
Ndio maana Leo hii ni rahisi kabisa kuwaambia waafrika kuwa pesa za kuwasomesha vijana wetu chuo Kikuu ambapo wanapata maarifa na ujuzi mkubwa ,tumezijengea barabara na wananchi wanashangilia. Mana hawajui umuhimu wa Elimu kuwa watu wenye elimu watakuja kujenga barabara zao wenyewe kwa gharama ndogo zaidi.

Ingekua miundombinu ya kuletewa na wachina kwa mikopo au kuwanyonya wananchi ingekua inainua uchumi wa nchi na wananchi wake Leo hii Ethiopia ingekua na viwanda vingi na mabilionea wa kutosha. Kila kitu dukani kingekua kimeandikwa Made in Ethiopia. Taifa hilo la Ethiopia lingekua linatoa ajira kubwa kwa vijana wake, kuinua vipaji vya vijana wao na huduma bora kwa wananchi wake. Lakini chaajabu hata mkongo aliyeko Kinshasa ana maisha ya furaha na uhakika wa kuishi kuliko Muethiopia aliyeko Addis ababa. Matokeo yake waEthiopia wengi wanakimbilia Afrika kusini kutajirika na sio China wala Korea au Urusi ambapo wameiga sana mifumo yao ya kiutawala.

Afrika hatutakuja kuwa na maendeleo ya kweli ya watu mana hatuwekezi kwenye elimu na Teknolojia .Lakini pia hatuwekezi kwa wale wachache wenye uwezo na vipaji binafsi. Leo hii kuna Waafrika wenzetu wanauwezo mkubwa wa kufanya biashara na kushindana na wahindi lakini wanasiasa na serikali zetu zinawapiga vita sana na hata kujenga mazingira ya kuwafilisi na kuwaona kama ni wanyonyaji na wezi kwa sababu tu ya tofauti za kisiasa. Kwa mfano hapa kwetu kuna watu walitakiwa wapewe sapoti kubwa zaidi ili wajitanue na kuwekeza huko Kongo, Sudani, Komoro, Zambia n.k. Hao walitakiwa walindwe kwa nguvu zote na hata kupunguziwa kodi kwa lengo la kuwafanya wateke soko la nchi zote za kusini mwa jangwa la sahara.

Point!!! ELIMU ELIMU ELIMU
Mama yangu aliniambia bora nikupe urithi wa elimu kuliko nyumba
 
Dereva wa Lissu mlishindwa kumkamata alipokuwa Dodoma hospitali kwakuwa kipaumbele cha wakati ule kilikuwa waziri wa mambo ya ndani kuitisha press conference ili kukanusha serikali ya mtukufu kuhusika na jaribio lile.
Mimi ni wa Kolomije.
Yaan rais wa nchi ahusike na mambo madoooogo kama ya kukamata dereva wa Lisu, huyo atakuwa rais wa mtaa au wa Tff
 
Back
Top Bottom