BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,345
Leo kuna video nimeiona wanasema imechukuliwa Israeli wiki hii, mawingu mfano wa pete ilikua inatembea angani na kuna sauti kama za tarumbeta zinasikika..
Duuuh!
Sasa nasikia tukio kama hili lilitokea hapa kwetu ila ilikua usiku na kuna watu waliliona nalo lilikua mfano wa duara ila katikati kulikua na nyota tatu, lakini kama kawaida yetu watanzania tunashangaa tu sidhanni kama kuna ambae alirekodi tukio lile japo ilikua usiku na watu waliona baadhi.
Jamani mnajua Israel na historia yake sina haja ya kuongea sana kwa wale wakristo wataelewa vizuri.
Tujiandae. Binafsi nimeogofya! Hio video nimeiangalia mara moja tu. Japo ninayo katika simu nimetumiwa leo.
Duuuh!
Sasa nasikia tukio kama hili lilitokea hapa kwetu ila ilikua usiku na kuna watu waliliona nalo lilikua mfano wa duara ila katikati kulikua na nyota tatu, lakini kama kawaida yetu watanzania tunashangaa tu sidhanni kama kuna ambae alirekodi tukio lile japo ilikua usiku na watu waliona baadhi.
Jamani mnajua Israel na historia yake sina haja ya kuongea sana kwa wale wakristo wataelewa vizuri.
Tujiandae. Binafsi nimeogofya! Hio video nimeiangalia mara moja tu. Japo ninayo katika simu nimetumiwa leo.