The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 11,099
- 13,698
Tangu mzanzibari aongoze Tanganyika akaiiibia na kupelekwa kwao, hakuna maana tena ya muugano.
Nashangaa kuona nchi zinazodai kuungana zina uraia pacha upande mmoja wakati upande wa pili ukipigwa changa la macho.
Upande wa Tanganyika una uraia feki wa utanzania ambao hauna maana wa wazanzibari ambao wanao uraia wao, wimbo wa taifa, na sasa wanazidi kutubebesha mzigo wa madeni yao.
Tanganyika ni kama shamba la bibi. Watanganyika ni mayatima tu japo kuna machawa wachache wanaotumiwa kutuhujumu.
Japo waasisi wa muungano walichanganya udongo, hawakuchanganya ubongo. Kila mtu ajiendea kivyakevyake.
Je, umefika wakati wa kuuvinjilia mbali muungano?