Wakati Upatikanaji wa Maji Iringa Manispaa ni 98% , Serikali Imepeleka Mradi Mwingine wa Maji wa 203B.Tumerogwa na Nani?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,076
49,779
Hii kiukweli sio sawa, haiingii akilini kwamba Maji yanapatikana vizuri kabisa hapo hapo Serikali inapeleka tena mradi wa zaidi ya Bilioni 200 Mji huo huo ambao hakuna shida ya Maji.

Nimekuwepo Ilula majuzi tuu sijawahi ona shida ya Maji,yaani maji ni bwelele kabisa achilia mbali Iringa Mjini.

Sasa naomba kufahamu kwamba Wataalamu huko Wizarani hawana takwimu au ni kukosa akili ama ni mipango ya Bora liende?

Kuna mikoa Ina shida kubwa kabisa ya Maji kama Rukwa,Songwe,Mwanza,Dodoma na maeneo mengi kama hayo.Sasa Kwa nini mradi huu usipelekwe huko?

View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1696945398349267271?t=QfkcH-lWPzgdxPX9_9WouA&s=19

My Take
Kuna shida sana ya mgawanyo wa Rasilimali hapa Tanzania
 
Hii kiukweli sio sawa, haiingii akilini kwamba Maji yanapatikana vizuri kabisa hapo hapo Serikali inapeleka tena mradi wa zaidi ya Bilioni 200 Mji huo huo ambao hakuna shida ya Maji.

Nimekuwepo Ilula majuzi tuu sijawahi ona shida ya Maji,yaani maji ni bwelele kabisa achilia mbali Iringa Mjini.

Sasa naomba kufahamu kwamba Wataalamu huko Wizarani hawana takwimu au ni kukosa akili ama ni mipango ya Bora liende?

Kuna mikoa Ina shida kubwa kabisa ya Maji kama Rukwa,Songwe,Mwanza,Dodoma na maeneo mengi kama hayo.Sasa Kwa nini mradi huu usipelekwe huko?

View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1696945398349267271?t=QfkcH-lWPzgdxPX9_9WouA&s=19

My Take
Kuna shida sana ya mgawanyo wa Rasilimali hapa Tanzania

Wafanya maamuzi wengi wa nchi hii huko ngazi za juu ni syndicate ya Iringa, Njombe na Mbeya!
 
Punguza kiherehere 🤣🤣🔥
Hasara hii ya kufanya mambo Kisiasa bila Time ya Mipango.

Happy unakuta wajinga Fulani kama wewe eti waliweka vigezo vya kupata Mradi ni Miji yote ambayo ni Manispaa bila kujali Hali halisi.

Acheni upumbavu nyie ndio maana mnapinduliwa huko.
 
Hasara hii ya kufanya mambo Kisiasa bila Time ya Mipango.

Happy unakuta wajinga Fulani kama wewe eti waliweka vigezo vya kupata Mradi ni Miji yote ambayo ni Manispaa bila kujali Hali halisi.

Acheni upumbavu nyie ndio maana mnapinduliwa huko.
Nyie Maji mnamwagilia mpunga Chimala acheni Ututusa kupanga ni kuchagua!
 
Hii kiukweli sio sawa, haiingii akilini kwamba Maji yanapatikana vizuri kabisa hapo hapo Serikali inapeleka tena mradi wa zaidi ya Bilioni 200 Mji huo huo ambao hakuna shida ya Maji.

Nimekuwepo Ilula majuzi tuu sijawahi ona shida ya Maji,yaani maji ni bwelele kabisa achilia mbali Iringa Mjini.

Sasa naomba kufahamu kwamba Wataalamu huko Wizarani hawana takwimu au ni kukosa akili ama ni mipango ya Bora liende?

Kuna mikoa Ina shida kubwa kabisa ya Maji kama Rukwa,Songwe,Mwanza,Dodoma na maeneo mengi kama hayo.Sasa Kwa nini mradi huu usipelekwe huko?

View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1696945398349267271?t=QfkcH-lWPzgdxPX9_9WouA&s=19

My Take
Kuna shida sana ya mgawanyo wa Rasilimali hapa Tanzania

Ukiona hivyo ujue wameshachora ramani ya kuiba, kuna siku maza alikuja Arusha last year, akazindua barabara 2 ambazo zilishazinduliwa na JK kama sikosei 2015, hapo ndiyo nilichoka nikajua kweli jamaa wapo serious kuiba kwa nguvu.
 
Hii kiukweli sio sawa, haiingii akilini kwamba Maji yanapatikana vizuri kabisa hapo hapo Serikali inapeleka tena mradi wa zaidi ya Bilioni 200 Mji huo huo ambao hakuna shida ya Maji.

Nimekuwepo Ilula majuzi tuu sijawahi ona shida ya Maji,yaani maji ni bwelele kabisa achilia mbali Iringa Mjini.

Sasa naomba kufahamu kwamba Wataalamu huko Wizarani hawana takwimu au ni kukosa akili ama ni mipango ya Bora liende?

Kuna mikoa Ina shida kubwa kabisa ya Maji kama Rukwa,Songwe,Mwanza,Dodoma na maeneo mengi kama hayo.Sasa Kwa nini mradi huu usipelekwe huko?

View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1696945398349267271?t=QfkcH-lWPzgdxPX9_9WouA&s=19

My Take
Kuna shida sana ya mgawanyo wa Rasilimali hapa Tanzania



Hamlogwi, mnapigwa
 
Back
Top Bottom