Wakati umefika jamii kuunga mkono juhudi za Serikali

Rashda Zunde

Senior Member
May 28, 2022
199
231
Licha ya kejeli na dhihaka alizofanyiwa Rais Samia Suluhu Hassan, na wapinga maendeleo wa nchini juu ya utekelezaji miradi mbali mbali ikiwemo ya Uviko-19 lakini bado hakurudi nyuma kuleta mabadiliko.

Aliweka pamba masikio na kusonga mbele juu ya kusimamia miradi mikubwa ya uwekezaji pamoja na ile ya Uviko-19 kwa lengo la kuhakikisha viwango vinapatikana na taifa linafaidika.

Sasa hivi jamii imepata kujionea kwa kiasi gani serikali imejikita kuleta mabadiliko ya kiuchumi, kinyume na yale yaliokuwa yakisemwa kwamba Rais Samia hatoweza kufanya kazi kwa ufanisi.

Kwa kweli licha ya changamoto za shutma na kauli zisokuwa na msingi juu ya uongozi wake, bado amesimama imara kuhakikisha anatekeleza ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Hivyo basi, wakati umefika jamii kuunga mkono juhudi za serikali kwani mama Samia Suluhu Hassan yupo kazini.
 
Jamii itaunga mkono mchakato wa katiba mpya Ili WANANCHI wawe na mamlaka dhidi ya VIONGOZI!!

Katiba iliyopo ni kichaka cha wizi na umungu mtu NDANI ya NCHI yetu!

Hebu paza SAUTI Ndugu KWAMBA;-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Licha ya kejeli na dhihaka alizofanyiwa Rais Samia Suluhu Hassan, na wapinga maendeleo wa nchini juu ya utekelezaji miradi mbali mbali ikiwemo ya Uviko-19 lakini bado hakurudi nyuma kuleta mabadiliko.

Aliweka pamba masikio na kusonga mbele juu ya kusimamia miradi mikubwa ya uwekezaji pamoja na ile ya Uviko-19 kwa lengo la kuhakikisha viwango vinapatikana na taifa linafaidika.

Sasa hivi jamii imepata kujionea kwa kiasi gani serikali imejikita kuleta mabadiliko ya kiuchumi, kinyume na yale yaliokuwa yakisemwa kwamba Rais Samia hatoweza kufanya kazi kwa ufanisi.

Kwa kweli licha ya changamoto za shutma na kauli zisokuwa na msingi juu ya uongozi wake, bado amesimama imara kuhakikisha anatekeleza ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Hivyo basi, wakati umefika jamii kuunga mkono juhudi za serikali kwani mama Samia Suluhu Hassan yupo kazini.
Tuambie... Amefanya nini kipind hiki cha mwaka mmoja.. ambapo mtu unaweza kumuhamisha kuwa ni kiongozi bora..

Zaidi na zaidi kuleta tozo zisizo na maana na vitu kupanda juu zaidi ya asilimia 50..

Ni safari nyingi...
 
Licha ya kejeli na dhihaka alizofanyiwa Rais Samia Suluhu Hassan, na wapinga maendeleo wa nchini juu ya utekelezaji miradi mbali mbali ikiwemo ya Uviko-19 lakini bado hakurudi nyuma kuleta mabadiliko...
Nimejikuta nikicheka na post yako, ila maoni ni haki yako
 
Licha ya kejeli na dhihaka alizofanyiwa Rais Samia Suluhu Hassan, na wapinga maendeleo wa nchini juu ya utekelezaji miradi mbali mbali ikiwemo ya Uviko-19 lakini bado hakurudi nyuma kuleta mabadiliko...
Uko Sahihi, sidhani kama Serikali inafanya masuala kwa ajili yake bali wananchi..

Hata hivyo utaratibu wa kuwashirikisha huenda ndio unaleta changamoto ionekane mradi x ni WA serikali sio wa wananchi.
 
Licha ya kejeli na dhihaka alizofanyiwa Rais Samia Suluhu Hassan, na wapinga maendeleo wa nchini juu ya utekelezaji miradi mbali mbali ikiwemo ya Uviko-19 lakini bado hakurudi nyuma kuleta mabadiliko.

Aliweka pamba masikio na kusonga mbele juu ya kusimamia miradi mikubwa ya uwekezaji pamoja na ile ya Uviko-19 kwa lengo la kuhakikisha viwango vinapatikana na taifa linafaidika.

Sasa hivi jamii imepata kujionea kwa kiasi gani serikali imejikita kuleta mabadiliko ya kiuchumi, kinyume na yale yaliokuwa yakisemwa kwamba Rais Samia hatoweza kufanya kazi kwa ufanisi.

Kwa kweli licha ya changamoto za shutma na kauli zisokuwa na msingi juu ya uongozi wake, bado amesimama imara kuhakikisha anatekeleza ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Hivyo basi, wakati umefika jamii kuunga mkono juhudi za serikali kwani mama Samia Suluhu Hassan yupo kazini.
Kwani kuna kulazimishana? Jamii inaona
 
Licha ya kejeli na dhihaka alizofanyiwa Rais Samia Suluhu Hassan, na wapinga maendeleo wa nchini juu ya utekelezaji miradi mbali mbali ikiwemo ya Uviko-19 lakini bado hakurudi nyuma kuleta mabadiliko.

Aliweka pamba masikio na kusonga mbele juu ya kusimamia miradi mikubwa ya uwekezaji pamoja na ile ya Uviko-19 kwa lengo la kuhakikisha viwango vinapatikana na taifa linafaidika.

Sasa hivi jamii imepata kujionea kwa kiasi gani serikali imejikita kuleta mabadiliko ya kiuchumi, kinyume na yale yaliokuwa yakisemwa kwamba Rais Samia hatoweza kufanya kazi kwa ufanisi.

Kwa kweli licha ya changamoto za shutma na kauli zisokuwa na msingi juu ya uongozi wake, bado amesimama imara kuhakikisha anatekeleza ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Hivyo basi, wakati umefika jamii kuunga mkono juhudi za serikali kwani mama Samia Suluhu Hassan yupo kazini.
Kwahiyo unatutaka na sisi tukubali kuwa vijambio vyake kama wewe ulivyo
 
Back
Top Bottom