Wakati Tanzania ikiomba kiwanda cha magari, Wakenya waliomba kiwanda cha mbolea

BUSAMUDA

JF-Expert Member
Nov 12, 2014
612
358
Watanzania ni Nani kawaroga?

Wakati JPM akijitahidi kuifanya Tanzania ifikie uchumi wa kati. Nadhani umasikini WA nchi hii unatokana na viongozi hasa wa hili lichama kukosa maono au mbinu mbadala za kuwapeleka Watanzania wanapotaka kwenda. Waziri wa wizara Kubwa anasafiri kwenda makao Makuu ya Toyota Japani anatumia pesa za Watanzania masikini kuomba kiwanda cha magari.

WakatiWatanzania wakiomba kiwanda cha magari toka TOYOTA, Wakenya waliomba kiwanda cha mbolea kutoka kampuni hiyo hiyo ya TOYOTA ambacho muda si mrefu watakifungua na kuondoa Kabisa uagizaji wa mbolea toka nje.

Mi sio mchumi ila sijui Watanzania wangapi watanunua hayo magari huku Tukiwa na kauli mbiu kibao Kama

Kilimo ni uti wa mgongo.

Kilimo kwanza.na nyingine nyingi. Vijana mnafukuzwa mkalime mtachukua hayo magari muyappeleke shambanini.
ImageUploadedByJamiiForums1461939977.819294.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1461940032.489161.jpg
 
Suluhu la mbolea nchini litapatika 2019; tuombe uzima. Mpango kamambe unaandaliwa.
 
Hiyo ipo sawa babu, kiwanda cha gari ni kikubwa kuliko cha Mbolea, kwahiyo kiuchumi kitatupaisha zaid kuliko cha mbolea, by the way nasikia viwanda vya mbolea vipo..!!

Na kwa nchi yetu, usishangae mahitaji ya magar yakawa makubwa kuliko ya mbolea..!!
 
Kumbe ndo maana mtoa mada ulikuwa mfuasi wa Elimu Elimu Elimu. Ulihitaji elimu tatu ili ufikiri sawa sawa.
 
Viwanda vya Mbolea mbona tunavyo? we wa wapi? kwani Minjingu inazalisha nini? kiwanda kingine cha mbolea kitajengwa huko Mtwara kulipozinduliwa Gas

Hivi kile kiwanda cha mbolea pale Tanga bado kipo na kinafanya kazi? Nakumbuka ni kiwanda kikubwa ana na kina nyumba nyingi tena nzuri za wafanyakazi
 
Watanzania ni Nani kawaroga?

Wakati JPM akijitahidi kuifanya Tanzania ifikie uchumi wa kati. Nadhani umasikini WA nchi hii unatokana na viongozi hasa wa hili lichama kukosa maono au mbinu mbadala za kuwapeleka Watanzania wanapotaka kwenda. Waziri wa wizara Kubwa anasafiri kwenda makao Makuu ya Toyota Japani anatumia pesa za Watanzania masikini kuomba kiwanda cha magari.

WakatiWatanzania wakiomba kiwanda cha magari toka TOYOTA, Wakenya waliomba kiwanda cha mbolea kutoka kampuni hiyo hiyo ya TOYOTA ambacho muda si mrefu watakifungua na kuondoa Kabisa uagizaji wa mbolea toka nje.

Mi sio mchumi ila sijui Watanzania wangapi watanunua hayo magari huku Tukiwa na kauli mbiu kibao Kama

Kilimo ni uti wa mgongo.

Kilimo kwanza.na nyingine nyingi. Vijana mnafukuzwa mkalime mtachukua hayo magari muyappeleke shambanini.View attachment 343536View attachment 343537

Sio kwamba kila nchi duniani inalima!!! lakini bado wananchi wake wanaishi vizuri tu cha msingi ni kipaumbele!! Kuna nchi moja nilibahatika kwenda wala sio mbali sana na hapa kwetu ni nchi ambayo ardhi yake ni mawe tu huoni jani wala mti na mchana huwezi kuangalia baharini sababu maji yanachanganyika na mafuta na kumeremeta machoni. Hawalimi na hata maji wanaagiza kutoka nje ya nchi. Sasa kuna ubaya gani tukiwa na kiwanda cha magari na fedha tutakayopata si tutanunua chakula na hiyo mbolea na kubaki?Kuna watu wengi sasa hivi wanalima j wamelalamika kukosa mbolea? Ndugu yangu usiwe na makengeza ya kwamba kila wanachofanya Kenya basi ni kizuri tu we subiri hiyo deal ya mbolea utasikia kilio cha uisadi huko
 
Sioni tatizo la kuwa na kiwanda cha kuunda magari kwasababu hayo magari yatauzwa pia kwenye masoko ya nje ya Tz within Africa na tutanufaika na biashara
 
Nimemuona Barbarosa hapo juu alivyo zuzu anasifia hilo suala la kujenga kiwanda cha magali,wakati asilimia 80 ya watanzania wanaishi kwa chini ya dola moja kwa siku..na wanashindia mlo mmoja...teh..teh..teh...nchi imejaa malofa hii!
 
Back
Top Bottom