Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,938
- 25,282
Wakuu wote kama taifa tumepatwa na msiba baada ya kuondoka kwa Rais mstaafu Ndugu Benjamin W. Mkapa na tumetangaziwa kuwa na maombolezo ya kitaifa kwa siku 7. Katika pita pita zangu nimeona kuwa kuna bonanza kubwa lililopangwa kufanyika tarehe 25/07/2020 katika viwanja vya posta jijini Dar es Salaam na watanzania waliopo katika mtandao wa twitter maarufu kama TOT Bonanza. Je jambo hili ni sahihi ama linaleta ukakasi katika suala zima la uzalendo wetu ?