Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,007
Mzee kilomoni aliona mbali sana na alipinga janja janja ya mohamed dewji kipindi kile cha mabadiliko ila wana-simba wengi walimbeza na kumuona msaliti na anayekwamisha mabadiliko
Ukweli ni kwamba kilomoni aliona mbali sana leo hii simba mwenyekiti anatumia gharama kubwa ya kumleta manzoki kwenye kampeni za uchaguzi alafu kiutendaji hana mamlaka yeyote hiki ni kituko kikubwa sana ni bonge ya kanyaboya
Mangungu hana mamlaka kikatiba ambayo simba waliipitisha mwaka 2018/2019 ni jambo la ajabu mashabiki kumlalamikia na kumtaka aondoke mangungu yeye sio chanzo cha tatizo bali chanzo cha tatizo ni dewji na wapambe wake try again na kajuna
Hiki kinachotokea leo simba ni ishara asilimia kubwa sana ya sisi watanzania tuna upeo mdogo sana sio watu wa kufikiria mbali na hii itatukwamisha kwenye mambo mengi sana ni akili ya wapi unawapa wanachama asilimia 51 hisa ambayo hata hawachangii chochote hiki ni kituko cha mwaka
Mo dewji akiondoka hata sahivi simba hawawezi kosa mwemezaji matajiri wengi sana wanaitamani simba
Ukweli ni kwamba kilomoni aliona mbali sana leo hii simba mwenyekiti anatumia gharama kubwa ya kumleta manzoki kwenye kampeni za uchaguzi alafu kiutendaji hana mamlaka yeyote hiki ni kituko kikubwa sana ni bonge ya kanyaboya
Mangungu hana mamlaka kikatiba ambayo simba waliipitisha mwaka 2018/2019 ni jambo la ajabu mashabiki kumlalamikia na kumtaka aondoke mangungu yeye sio chanzo cha tatizo bali chanzo cha tatizo ni dewji na wapambe wake try again na kajuna
Hiki kinachotokea leo simba ni ishara asilimia kubwa sana ya sisi watanzania tuna upeo mdogo sana sio watu wa kufikiria mbali na hii itatukwamisha kwenye mambo mengi sana ni akili ya wapi unawapa wanachama asilimia 51 hisa ambayo hata hawachangii chochote hiki ni kituko cha mwaka
Mo dewji akiondoka hata sahivi simba hawawezi kosa mwemezaji matajiri wengi sana wanaitamani simba