Naja naja
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 747
- 1,462
Kuna wakati mtu unapitia mambo magumu sana tena sana na unaona hauna kabisa muelekeo wa kimaisha kila unachofikiria unaona hakileti muitikio chanya suluhisho pekee unaona bora ukatishe uhai wako.
Mwenyezi Mungu naye wakati mwingine anaangalia magumu anayoyapitia mja wake hivyo hawezi kukuhukumu kwa kitendo cha kujitoa uhai kwa kushindwa kuhimili misuko suko ya kimaisha.
Hivyo ile kauli ya kusema ukijitoa uhai moja kwa moja maisha yako yatakuwa ni ya motoni sio kweli.
Mwenyezi Mungu naye wakati mwingine anaangalia magumu anayoyapitia mja wake hivyo hawezi kukuhukumu kwa kitendo cha kujitoa uhai kwa kushindwa kuhimili misuko suko ya kimaisha.
Hivyo ile kauli ya kusema ukijitoa uhai moja kwa moja maisha yako yatakuwa ni ya motoni sio kweli.