Paloma JF-Expert Member Jan 22, 2008 5,332 4,951 Aug 24, 2012 #22 labda tuambie sababu zilizokufanya utereze......ipi iliyokuvuta kati ya zile zoooote unazoziandikaga humu.....
labda tuambie sababu zilizokufanya utereze......ipi iliyokuvuta kati ya zile zoooote unazoziandikaga humu.....
Joeli JF-Expert Member Apr 25, 2011 4,941 3,402 Aug 24, 2012 #23 Mtambuzi said: Katu hamtakaa mumjue,maana najua Erickb52 mimacho itamtoka maana kazoea vya kunyonga... Click to expand... kumbe wana jamvi wanakujua Erickb52 kwa faulo zako Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mtambuzi said: Katu hamtakaa mumjue,maana najua Erickb52 mimacho itamtoka maana kazoea vya kunyonga... Click to expand... kumbe wana jamvi wanakujua Erickb52 kwa faulo zako
platozoom JF-Expert Member Jan 24, 2012 9,366 11,156 Aug 24, 2012 #24 MtotoSix said: kumbe wana jamvi wanakujua Erickb52 kwa faulo zako Click to expand... Erickb52 ni simba mwenda pole................. Ila mzee mzima Mtambuzi ameingia choo cha kike...............yule namfahamu ni memba mkongwe mwenye ID mpya labda kama anakubaliana na mvinyo wa zamani kwenye chupa mpya Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
MtotoSix said: kumbe wana jamvi wanakujua Erickb52 kwa faulo zako Click to expand... Erickb52 ni simba mwenda pole................. Ila mzee mzima Mtambuzi ameingia choo cha kike...............yule namfahamu ni memba mkongwe mwenye ID mpya labda kama anakubaliana na mvinyo wa zamani kwenye chupa mpya
Elia JF-Expert Member Dec 30, 2009 3,425 567 Aug 24, 2012 #25 Na mimi niongeze bidii kwa nyumba kubwa halafu natembea na helment! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
The secretary JF-Expert Member Jan 14, 2012 4,149 2,536 Aug 24, 2012 #26 vimeo wapi yeye ndie kimeo maarufu hivi karibu nitatoa kibuti mabachera kibao mume ea kazi gani
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,607 52,334 Aug 25, 2012 #27 Cantalisia umeona mambo ya mzee wenu.