MY DOG!! Wewe ndo counsellor kwenye ile tume!!????, Mamdenyi na Erickb52 kazi hiyo!
neylu watu wanapenda sifa humu we acha tu, kila siku sherehe, hata sialikwi..... Nikasema ngoja na mie nijipange, na sasa nimejitwalia kuku mtetea tena mwenye kamba mguuni bado hajapata like wala hajawa quoted na ndio kwanza ana post moja tena ya utambulisho......Hahahaaa.... Bora wewe walau umetamka japo hujamtaja kwa jina huyo small house wako... Nyumba ndogo humu JF ziko kibaaaaooo..!
Kumbe hujaelewa, huyo mdada ametelekezwa na boy friend wake namfanyia canceling tu basi.............Mimi utanisamehe Gustavo, nitamfikishia mama ngina habari bila kumung'unya...yaani wengine waparamie wakati hawajagharamia, haiwezekani kabisa..
lakini pia karibu kwenye engagement yangu wiki ijayo.
Mimi utanisamehe Gustavo, nitamfikishia mama ngina habari bila kumung'unya...yaani wengine waparamie wakati hawajagharamia, haiwezekani kabisa..
lakini pia karibu kwenye engagement yangu wiki ijayo.
Kumbe hujaelewa, huyo mdada ametelekezwa na boy friend wake namfanyia canceling tu basi.............
Nitakuja kwenye engegement yako, sijui inafanyikia wapi?
BelindaJacob, its for real? Kuna kipindi ulilalamika kuhusu mapenzi,a year ago or so, ia m happy for you,seriously kabisa.
toba yailahiiiiii
ama kweli simba mwenda pole ndo mla nyama....
Hadi mtambuzi ana nyumba ndogo :biggrin1: naona JF sasa ni ka vile danguro
Kikushangazacho mbona Baba yake mtoto wa mkulima anazo smol haus za kutosha!
Mkulima mwenyewe siyo anayo ! Ni anazo! Na member kibao hapa wanazo! Ukammake bure huyu mzee! Muacheni ale Bata.