Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema atakayejihusisha na vitendo vya rushwa katika mchakato wa chama hicho tawala kusaka wagombea wake katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, atapoteza sifa za kugombea.
Ametoa kauli hiyo leo Jumapili Desemba 30, 2018 alipokutana na wajumbe wa kamati ya siasa ya wilaya za Muleba na Biharamulo mkoani Kagera.
Bashiru Ally ataja sifa za wagombea uchaguzi wa Serikali za
Wakati hayo yakiendelea huko Muleba, jana katibu mkuu wa CHADEMA alikamatwa huko wilayani Hai kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kufanya mkusanyiko usio halali.
.....
Tutatika tu. Maendeleo hayana chama.
Halali kwa CCM, haramu kwa CHADEMA.
Ametoa kauli hiyo leo Jumapili Desemba 30, 2018 alipokutana na wajumbe wa kamati ya siasa ya wilaya za Muleba na Biharamulo mkoani Kagera.
Bashiru Ally ataja sifa za wagombea uchaguzi wa Serikali za
Wakati hayo yakiendelea huko Muleba, jana katibu mkuu wa CHADEMA alikamatwa huko wilayani Hai kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kufanya mkusanyiko usio halali.
.....
Tutatika tu. Maendeleo hayana chama.
Halali kwa CCM, haramu kwa CHADEMA.