wakali wa english

Snipes

JF-Expert Member
Jul 2, 2013
8,920
16,199
badilisha hii sentensi kwa kingereza
"baba mimi ni mtoto wako wa ngapi"

ngoja nipitie pop corn hapo kati..!!
[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]
 
"Father im your son of how many".. Afu hapo unamwita kwa mapozi yote huku ukitilia mbwembwe za kibongo movie..! Badala yakusema 'ntakukata mtama'.... Utaskia "I will cut you a millet" ... Bongo movie oyeeeeee!
 
badilisha hii sentensi kwa kingereza
"baba mimi ni mtoto wako wa ngapi"

ngoja nipitie pop corn hapo kati..!!
[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]

Wazazi kama kina mswati ndio wanatakiwa waulizwe maswali kama haya na watoto maana mtoto anaona wenzake wengi mpaka anakuwa confused
 
Back
Top Bottom