Wakala wa Toyota Tanzania

noliega

Member
Jul 6, 2017
68
28
Wanajamvi habari ya jioni kwenu!?

Samahani wanajamvi, binafsi nina garage kubwa tu na tunadeal na kutengeneza magari aina zote sasa nahitaji kujisajili na Toyota katika garage yangu ni vigezo vipi natakaiwa kuwa navyo au nini nifanye.

Naomba msaada kwa hili?

Nawasilisha...
 
Kiongozi Upo Wapi
Nadhani Iwapo Upo Dar es salaam, Dodoma, Mbeya, Mwanza
Wana Ofisi Zao Jaribu Kuwatembelea, Juzi Kulikuwa Na Seminar Elekezi Nikapata Habari Kuwa Toyota Tanzania Wanatoa Mafunzo Ya Madereva Na Kutoa Vyeti
 
Nko mbeya mkuu ngoja nifuatilie ofisi zao kwa Maelezo zaid,shukran mno
Kiongozi Upo Wapi
Nadhani Iwapo Upo Dar es salaam, Dodoma, Mbeya, Mwanza
Wana Ofisi Zao Jaribu Kuwatembelea, Juzi Kulikuwa Na Seminar Elekezi Nikapata Habari Kuwa Toyota Tanzania Wanatoa Mafunzo Ya Madereva Na Kutoa Vyeti
 
Mkuu inawezekana ukajisajili nao fatilia taratibu kwenye ofisi zao.

Kwa Mbeya kipindi cha nyuma pale Uyole kwenye gereji ya Mwanji, mjini maeneo karibu na Stanbic kulikuwa na wakala na Mbalizi kwa Rena ndio mawakala.

Mbeya gereji nyingi bado zipo kawaida wewe ukiiweka kisasa utapiga sana pesa maana washindani wako hapo wengi hawana vifaa vya kisasa.
Ukifanya kazi kwa uaminifu na bei za watu wengi kumudu utaletewa gari kutoka Tunduma mpaka Zambia.
 
Wanajamvi habari ya jioni kwenu!?

Samahani wanajamvi, binafsi nina garage kubwa tu na tunadeal na kutengeneza magari aina zote sasa nahitaji kujisajili na Toyota katika garage yangu ni vigezo vipi natakaiwa kuwa navyo au nini nifanye.

Naomba msaada kwa hili?

Nawasilisha...

Unatakiwa uwe muhindi..vyengine ziada tu
 
Shukran kaka kwa mawazo nalifanyia kazi
Mkuu inawezekana ukajisajili nao fatilia taratibu kwenye ofisi zao.

Kwa Mbeya kipindi cha nyuma pale Uyole kwenye gereji ya Mwanji, mjini maeneo karibu na Stanbic kulikuwa na wakala na Mbalizi kwa Rena ndio mawakala.

Mbeya gereji nyingi bado zipo kawaida wewe ukiiweka kisasa utapiga sana pesa maana washindani wako hapo wengi hawana vifaa vya kisasa.
Ukifanya kazi kwa uaminifu na bei za watu wengi kumudu utaletewa gari kutoka Tunduma mpaka Zambia.
 
Wanajamvi habari ya jioni kwenu!?

Samahani wanajamvi, binafsi nina garage kubwa tu na tunadeal na kutengeneza magari aina zote sasa nahitaji kujisajili na Toyota katika garage yangu ni vigezo vipi natakaiwa kuwa navyo au nini nifanye.

Naomba msaada kwa hili?

Nawasilisha...
Mbeya
Company: Chuo cha Ufundi Mbalizi
Contact Person: Tito Nduka Address: Tunduma Road, P.O. Box 219, Mbeya
Tel: +255 (25) 2510021
Mobile: +255 755 199570
Email: chuo.mbalizi@mec-tanzania.ch
 
Back
Top Bottom