Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,904
Wananchi msiwe na wasiwasi,mnachokiona jengo lina undergo expansion ili liwezo kusettle vizuri,
Yaani, huyu sijui mhandisi anastahili viboko. Siyo kwa matamshi ya hivyo.
Pale UDSM majengo ya miaka ya 1960s , 70s to 80s hayana hata kijistari cha ufa.
Ila, leo hii jengo la nusu mwaka linafanya settling and expansion!?