Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,773
Habari wadau!
Naomba kufahamishwa namna gani naweza kufanya ili niweze kuwa wakala wa bima . vitu gani vinahitajika yaani kama kuna mtaji nk. Natanguliza shukran kwa mawazo yenu mtakayotoa.
Naomba kufahamishwa namna gani naweza kufanya ili niweze kuwa wakala wa bima . vitu gani vinahitajika yaani kama kuna mtaji nk. Natanguliza shukran kwa mawazo yenu mtakayotoa.