Wakala wa Baleke: Simu ziite Baleke hataki kurudi TP Mazembe

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,783
24,215
KLABU YOYOTE INAYOMHITAJI BALEKE IJE.

"Klabu yoyote inayomtaka Jean Baleke ikubali kununua kandarasi yake ya mwisho ya miaka miwili (2) kwenda TP Mazembe, sisi tuko wazi kwa changamoto yoyote ile nzuri na sehemu yoyote kama biashara itakuwa ni nzuri."

-FAUSTINO MUKANDILA wakala wa Mchezaji JEAN BALEKE.
Azam mnachelewa wapi

1705428264142.jpg
 
KLABU YOYOTE INAYOMHITAJI BALEKE IJE.

"Klabu yoyote inayomtaka Jean Baleke ikubali kununua kandarasi yake ya mwisho ya miaka miwili (2) kwenda TP Mazembe, sisi tuko wazi kwa changamoto yoyote ile nzuri na sehemu yoyote kama biashara itakuwa ni nzuri."

-FAUSTINO MUKANDILA wakala wa Mchezaji JEAN BALEKE.
... Azam mnachelewa wapi
View attachment 2877063
sio azam pekee hata pale yanga ana namba yake
 
KLABU YOYOTE INAYOMHITAJI BALEKE IJE.

"Klabu yoyote inayomtaka Jean Baleke ikubali kununua kandarasi yake ya mwisho ya miaka miwili (2) kwenda TP Mazembe, sisi tuko wazi kwa changamoto yoyote ile nzuri na sehemu yoyote kama biashara itakuwa ni nzuri."

-FAUSTINO MUKANDILA wakala wa Mchezaji JEAN BALEKE.
Azam mnachelewa wapi

View attachment 2877063
Kwanini Simba wasimchukuwe na changamoto walizonazo za kujenga timu ?!. Kwanini wengine !!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom