rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,967
- 3,189
Toka mwezi wa 8Duu Toka lini mkuu
Toka mwezi wa 8Duu Toka lini mkuu
Toka mwezi wa 8
Yaah ata mimi nilifatilia wakaniambia wamesitisha kwa SasaNasikia mpesa wamesitisha kutoa lain za uwakala wa mpesa.
Wa kawaida inachukua muda gani kupata hizo laini baada ya kukamilisha process zote?Upande wa Tigo pesa unapiga documents zako copy ya Rangi Tin number, Leseni ya Biashara na kitambulisho cha Nida na Tsh 25000
Upande wa Airtel Money uwe na documents na Tsh 21000
Upande wa M pesa unapiga documents zako copy ya Rangi na 21000
Hizo ndio laini za kuanzia nazo
Sahihi toka mwezi wa 7 na Airtel Money nao wamesitisha ila kwa wao unaweza kupata via mlango wa nyuma ila kwa voda haiwezekani. Hiyo ya tigopesa ahahakishe anaenda kwa super agent halisi mana tigo matapeli wengi anawezapata laini kanyaboya.Nasikia mpesa wamesitisha kutoa lain za uwakala wa mpesa.
Sahihi toka mwezi wa 7 na Airtel Money nao wamesitisha ila kwa wao unaweza kupata via mlango wa nyuma ila kwa voda haiwezekani. Hiyo ya tigopesa ahahakishe anaenda kwa super agent halisi mana tigo matapeli wengi anawezapata laini kanyaboya.