Daktari wa Manchester
JF-Expert Member
- Jun 1, 2020
- 350
- 401
Habari zenu
Jamani Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu, nilikua naomba kujua ni process gani zinahitajika kusajili laini za uwakala wa halopesa na mitandao mingine na bei yake mana nilikua nataka niwe nafanya hiii Kaz kama side hustle nikiwa Chuoni
Naombeni mrejesho wenu
Jamani Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu, nilikua naomba kujua ni process gani zinahitajika kusajili laini za uwakala wa halopesa na mitandao mingine na bei yake mana nilikua nataka niwe nafanya hiii Kaz kama side hustle nikiwa Chuoni
Naombeni mrejesho wenu