Wakakamavu wa cuf

Wakakamavu wa cuf

Utingo

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
10,265
Reaction score
8,094
[h=5]askari wa dola huru ya znz wakitoa sallam kwa Rais Mtarajiwa wa znz.......2015[/h].......................
chipCUF3.jpg chiCUF2.jpg chipukizi cuf1.jpg
 
Jamani we mtoto, loh, kisa gani na mbavu zangu?!!!

Waliberali wanaweza kuwa na wakakamavu? Hayo ni maandalizi ya sherehe za MWAKAKOGE
 
Jamani we mtoto, loh, kisa gani na mbavu zangu?!!!

Waliberali wanaweza kuwa na wakakamavu? Hayo ni maandalizi ya sherehe za MWAKAKOGE

si unawaona mwenyewe....mimi mwenyewe nimecheka mno
 
Kuna watu wanavituko chini ya hili jua he he he hao ndio wakakamavu?
 
Hapa kuna mkakamavu kweli hapa......angalia mdebwedo!

attachment.php
 
Ingekuwa Chadema hapo...halafu hiyo 'shoo' imefanyikia Arusha au Moshi! Pasingelalika hii nchi!

Cha ajabu Jeshi lote la Police lingehamishiwa Arusha kudhibiti hii midebwedo...LoL!!
 
Wakakamavu wa kiduku ama..!!!?? kweli Waliberali wana vituko aisee..!!
 
Back
Top Bottom