Wakaka mna nini lakini?

Wakaka mna nini lakini?

Mkuu achaa tuu mimi sijamuoa bado lakini naona kabisaa hizo isharaa...!! Ana kiwanja nikawaza akiuze tufanye maarifa lakini baada ya kuwa na mambo ya kukumbushia pesa alizowahi toa na pengine kusema nimrudishie lakini baada ya muda ananiomba msamaha ni mara kibao tu.. Nimejifunza yani huwaga siulizii tema kuhusu mali zake wala pesa kama sina bora nikope aisee...

Bora umelitambua hilo mzee...ni vyema ukaisha na hawa viumbe kiburudani tuu...sii unaona wao wenyewe hawana noma ukiwachukulia kama sexmate cha msingi usiguse hela zao🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naona wanaume wote wamecomment kukushambulia....

Usiwashangae hata tukitoka kunywa bia kwenye malipo wengi hujifanya wamebanwa na haja wanakuja tukiwa tumeshalipa.

Vijana wanapenda vitu vya bure saana sijui shida nini.
 
Yani kuombwa tu hela penzi limekufa?!??

Wacha life tu.
 
Shidah uchumi ushabana
Naona wanaume wote wamecomment kukushambulia....

Usiwashangae hata tukitoka kunywa bia kwenye malipo wengi hujifanya wamebanwa na haja wanakuja tukiwa tumeshalipa.

Vijana wanapenda vitu vya bure saana sijui shida nini.
 
Naomba upige hesabu pesa ulizonipa nitakurudishia.
Wanawake mna masimango sana na vipesa vipesa vyenu.... Sheeenzi..🏃🏃🏃

(😀Mudi yangu leo sio nzuri)
 
Naona wanaume wote wamecomment kukushambulia....

Usiwashangae hata tukitoka kunywa bia kwenye malipo wengi hujifanya wamebanwa na haja wanakuja tukiwa tumeshalipa.

Vijana wanapenda vitu vya bure saana sijui shida nini.
Chawa ao
 
Hahaha nyie mnaombaga hela siku ya kwanza tu baada ya kuombwa no. Leo hii unashangaa kupigwa vizinga???

By the way nimepend moyo wako wa kujitolea dunia inataka wanawake wenye moyo safi kama wako

Pili,nimependa maamuzi yako mwanamke anapaswa kuwa na moyo wa kutoa ila sio kwakilakitu yaani ulivyofanya umepatia kabisa hamna ulipokosea.

Huyo kimarioo chako achana nacho hakistahili kuwa na mwanamke mwenye uelewa mkubwa kama wako.


Note:ushauri nawapa hata dada zangu nyumbani ukigundua mwanaume anakuchukulia kwa ngono tu piga chini na kwake usithubutu kurudiana nae,tusi kubwa sana kwako hilo usikubali ,you are more than that,pleaseeeee
 
Pole Sana
Tuliza Mawazo, Umegundua Jambo
Adui Ukimjua Kushinda Vita Ni Rahisi
Siku Hizi Hayo Ndiyo Maisha
Usipotulia Utakuwa Unapitia Shida Sana
 
Kwa nn unajitatiza na mahusiano as if huwezi ishi bila mpenzi!

Mi sioni funzo ila naona unahitaji muongozo juu ya wakaka
Mahusiano bora yenye malengo yanajileta hayatafutwi hivyo ndio maana huwa tunasisitiza urafiki kabla ya mapenz


Urafiki ni kufahamiana kabla ya kutongoZana
Kujua maisha yake na uwezo wake wa kufikir lkn kwa bahati mbaya wadada mnafikir baada ya mkaka kutoa msimamo
Na ni uhalisia mwanaume ndiyo anayeongoza ndoto za wawili hivyo mdada ukiamua kutoa ndoto kumbuka unataka kumiliki hilo pendo ambalo kwa asili linamilikiwa na mwanaume na ukiamua kulimiliki lazima likushinde au uamue kuuza ndoto kwake azielewe aziishi kisha amue kuzitekeleza ikiwa yeye ndiyo masterplan
Mwanamke ni mtawala na mwanaume ni mmiliki hivyo ukimpa mtawala majukumu ya umiliki tambua hapo hakuna mahusiano isipokuwa maonyesho au biashara
Mtawala au CEO hawezi kuwa mwerevu kuzidi mwenyekiti wa kampuni yaan CS awe bosi wa Magu ni uongo huo

Mwanamke kuwa financial katika mahusiano hilo ni kosa kwani mtaji wa kampuni ni wa mmiliki isipokuwa pale mmiliki anapoamua kugawa hisa kwa CEO au CEO anapogundua kampuni is worth anaweza kufinance baadhi ya miradi ali apate approval ya mmiliki na kujihakikishia ajira ili asitumbuliwe

Mdada lazma ujue kwa nn huyo unayetaka kuanza naye mahusiano hana mpenzi pia kwa nn anataka kuwa na wewe

Tatizo lawadada ni kupenda kuutoa mwili mapema kwa wanaume ili kuwaaminisha wanawapenda
Nakiri mm binafs Mdada mmoja niliwahi kumtongoza muda sana nikamwambia nataka nikuo kwa kuwa mke wangu alifariki na yeye ni single mother with 1.yeye umri wakati ule alikuwa 24 na biashara yake nzuri lkn hakuwa ameota kuolewa pia ndoto ya kuhama mkoa kuja Dar kwake haioni hivyo mapenz kwangu yalikuwa 50% mwanzon na mm kule niko kikaz hivyo tulidate muda without sex kwa kauli " nakuta christina katka uwote wako na si *chi wako hivyo siku ukiwa tayar nitakupokea" nilimpenda pia nikawapenda ndugu na rafiki bila kusahau mwanaye ambaye alinipenda pia vilevile tunatembeleana nyumban lkn baadaya miez six without sex mdada alionekana kukolea na bahat mbaya nikawa nimepata transfer kuja dar so tukiwa na kipat kidogo cha kuagana usiku huo alilazimisha tulale wote licha ya kumkatalia alizid kulalamika ingawa nilimfikisha getin kwake lkn hakuingia ndani ndipo baada ya muda nikamwambia home mazingira hayako sawa kwa kuwa mizigo imefungwa basi akatak hotel tukaenda akitaka kudo but jibu ni no mpaka asubuhi mm nikasafir ingawa alinielewa
Mapenz hayakudumu kwa kuwa haoti ndoto sawa na mm hivyo tulidate one year

Mfano wa pili
Wapo wadada wenye fedha lkn hawana ndoto hivyo akipata mkaka mwenye ndoto humuona kama mwizi kwan atafaidika kisha atamuacha ikiwa yeye ametumika kama daraja
Binafsi niliwahi kuwa na mahusiano na mdada wa namna hiyo wakati sina ajira yeye akiwa nayo pamoja na assets ambazo ni za familia lkn ziko mikononi mwake
Tukafanye naye mengi tukaboresha mazingira yake nikiwa sinalengo la kujinufaisha ila alikuwa aniamin kwa kuwa aliwahi kuwa na MTU ambaye alipelekea kutaka kufilisika hivyo n muoga nami nikawa mguu ndan mwingine nje
Pesa yangu ilitumika kwake kuboresha assets zake nikilenga aniamin pia familia iliniamin na kushirikiana kwenye matukio ya kijamii ya kifamilia kama mtendaji mkuu lkn back mwenzang hakuniamin hats nilipomuambia tuzae hakuona dili bahati nzuri nikapata scholarship nje mapenz yakafa japo mpaka Leo tunawasiliana kwa kuwa hatukugombana Bali tulichengana iman na so upendo na hajaolewa mpaka Leo ni miaka 13


Mafunzo kwetu site

So kila tuliyenaye anastahili kuoa au kuolewa kwan unaweza kumlazimisha akakubali halafu akageuka mwiba au akakataa ukaamua kumchukia hapana lazma uelewe interest yake kuliko kulazimisha tu lengo lako


Mapenzi au mahusiano ni starehe na pia while hivyo kila uliyenaye jifunze kitu kikusaidie kuishi au kuchgua wengine vizur


Ndoa au future ya mahusiano inakuja automatically wala hailazimishwi wala haipangwi ndiyo maana wengi wakitangaza kuoa au kuolewa wanakushangaa 'yaani yule wala hawaendani au ulimpendea nn" halafu cha ajabu ndoa hizo hudumu kuliko za wanaoendana ambao wameoa unene au uwembamba au uzur pengine shape au kazi au fedha ( ndoa au Destiny is not human plan bear to God)
Make wangu Mimi alikuwa msaidizi wangu kazin alafu kilichonivhta kwake ni juhudi na uvumilivu pamoja na usiri,
Je wangapi tunatafuta mambo madogo ktk mafanikikio ya mahusiano yetu?


Mwenye bandiko tafadhali usiishi kwa hisia Bali akili hivyo mpigie simu mkutane sehemu ya faragha na umuulize madukuduku yako na sisitiza majibu tena seriously talk KISHA utaona is it worth or nothing ( muelezane ukwel na kwa akili yako baini ukweli kwenye maneno yake)



Tuendelee
 
Mbona sisi tunatoaga pesa zetu na kuwapa kuwalipia bills, kuwanunulia furniture, home appliances, nguo n.k na hatulalamiki
 
Hawataki kusaidia na wanasahau wanaume tunavo wasev knoma
Noma sana tatizo wanawake huwaga mkimsaidia mtu Mnawekaa sana moyonii yani kinawaumaa balaa hata kama Ni mumeoo...!! Kama jamaa aliona pesa unazo kwa kuwa ulijionesha sasa why asikushauri mambo mazurii Japo hapo kuna mwisho mbayaa wa vilioo na kusaga menoo
 
Mkuu binafsi nimejifunza kitu kutokana na comment hii.
Lakini kwa upande mwingine kwa kweli, mapenzi ya sasa yamekuwa hovyo sana. Watu wanatazama watapata nini zaidi. Si kwa wadada wala wakaka. Wote wanaviziana. Maisha yamebadilika. Uongo mwingi sana na kupretend sana mradi mtu apate chochote.
Nafikiri mwenzangu ana mashaka kuwa kapata mtu wa namna hiyo... labda...
Kwa nn unajitatiza na mahusiano as if huwezi ishi bila mpenzi!

Mi sioni funzo ila naona unahitaji muongozo juu ya wakaka
Mahusiano bora yenye malengo yanajileta hayatafutwi hivyo ndio maana huwa tunasisitiza urafiki kabla ya mapenz


Urafiki ni kufahamiana kabla ya kutongoZana
Kujua maisha yake na uwezo wake wa kufikir lkn kwa bahati mbaya wadada mnafikir baada ya mkaka kutoa msimamo
Na ni uhalisia mwanaume ndiyo anayeongoza ndoto za wawili hivyo mdada ukiamua kutoa ndoto kumbuka unataka kumiliki hilo pendo ambalo kwa asili linamilikiwa na mwanaume na ukiamua kulimiliki lazima likushinde au uamue kuuza ndoto kwake azielewe aziishi kisha amue kuzitekeleza ikiwa yeye ndiyo masterplan
Mwanamke ni mtawala na mwanaume ni mmiliki hivyo ukimpa mtawala majukumu ya umiliki tambua hapo hakuna mahusiano isipokuwa maonyesho au biashara
Mtawala au CEO hawezi kuwa mwerevu kuzidi mwenyekiti wa kampuni yaan CS awe bosi wa Magu ni uongo huo

Mwanamke kuwa financial katika mahusiano hilo ni kosa kwani mtaji wa kampuni ni wa mmiliki isipokuwa pale mmiliki anapoamua kugawa hisa kwa CEO au CEO anapogundua kampuni is worth anaweza kufinance baadhi ya miradi ali apate approval ya mmiliki na kujihakikishia ajira ili asitumbuliwe

Mdada lazma ujue kwa nn huyo unayetaka kuanza naye mahusiano hana mpenzi pia kwa nn anataka kuwa na wewe

Tatizo lawadada ni kupenda kuutoa mwili mapema kwa wanaume ili kuwaaminisha wanawapenda
Nakiri mm binafs Mdada mmoja niliwahi kumtongoza muda sana nikamwambia nataka nikuo kwa kuwa mke wangu alifariki na yeye ni single mother with 1.yeye umri wakati ule alikuwa 24 na biashara yake nzuri lkn hakuwa ameota kuolewa pia ndoto ya kuhama mkoa kuja Dar kwake haioni hivyo mapenz kwangu yalikuwa 50% mwanzon na mm kule niko kikaz hivyo tulidate muda without sex kwa kauli " nakuta christina katka uwote wako na si *chi wako hivyo siku ukiwa tayar nitakupokea" nilimpenda pia nikawapenda ndugu na rafiki bila kusahau mwanaye ambaye alinipenda pia vilevile tunatembeleana nyumban lkn baadaya miez six without sex mdada alionekana kukolea na bahat mbaya nikawa nimepata transfer kuja dar so tukiwa na kipat kidogo cha kuagana usiku huo alilazimisha tulale wote licha ya kumkatalia alizid kulalamika ingawa nilimfikisha getin kwake lkn hakuingia ndani ndipo baada ya muda nikamwambia home mazingira hayako sawa kwa kuwa mizigo imefungwa basi akatak hotel tukaenda akitaka kudo but jibu ni no mpaka asubuhi mm nikasafir ingawa alinielewa
Mapenz hayakudumu kwa kuwa haoti ndoto sawa na mm hivyo tulidate one year

Mfano wa pili
Wapo wadada wenye fedha lkn hawana ndoto hivyo akipata mkaka mwenye ndoto humuona kama mwizi kwan atafaidika kisha atamuacha ikiwa yeye ametumika kama daraja
Binafsi niliwahi kuwa na mahusiano na mdada wa namna hiyo wakati sina ajira yeye akiwa nayo pamoja na assets ambazo ni za familia lkn ziko mikononi mwake
Tukafanye naye mengi tukaboresha mazingira yake nikiwa sinalengo la kujinufaisha ila alikuwa aniamin kwa kuwa aliwahi kuwa na MTU ambaye alipelekea kutaka kufilisika hivyo n muoga nami nikawa mguu ndan mwingine nje
Pesa yangu ilitumika kwake kuboresha assets zake nikilenga aniamin pia familia iliniamin na kushirikiana kwenye matukio ya kijamii ya kifamilia kama mtendaji mkuu lkn back mwenzang hakuniamin hats nilipomuambia tuzae hakuona dili bahati nzuri nikapata scholarship nje mapenz yakafa japo mpaka Leo tunawasiliana kwa kuwa hatukugombana Bali tulichengana iman na so upendo na hajaolewa mpaka Leo ni miaka 13


Mafunzo kwetu site

So kila tuliyenaye anastahili kuoa au kuolewa kwan unaweza kumlazimisha akakubali halafu akageuka mwiba au akakataa ukaamua kumchukia hapana lazma uelewe interest yake kuliko kulazimisha tu lengo lako


Mapenzi au mahusiano ni starehe na pia while hivyo kila uliyenaye jifunze kitu kikusaidie kuishi au kuchgua wengine vizur


Ndoa au future ya mahusiano inakuja automatically wala hailazimishwi wala haipangwi ndiyo maana wengi wakitangaza kuoa au kuolewa wanakushangaa 'yaani yule wala hawaendani au ulimpendea nn" halafu cha ajabu ndoa hizo hudumu kuliko za wanaoendana ambao wameoa unene au uwembamba au uzur pengine shape au kazi au fedha ( ndoa au Destiny is not human plan bear to God)
Make wangu Mimi alikuwa msaidizi wangu kazin alafu kilichonivhta kwake ni juhudi na uvumilivu pamoja na usiri,
Je wangapi tunatafuta mambo madogo ktk mafanikikio ya mahusiano yetu?


Mwenye bandiko tafadhali usiishi kwa hisia Bali akili hivyo mpigie simu mkutane sehemu ya faragha na umuulize madukuduku yako na sisitiza majibu tena seriously talk KISHA utaona is it worth or nothing ( muelezane ukwel na kwa akili yako baini ukweli kwenye maneno yake)



Tuendelee
 
Watu wengine mnabahati ya kuepushwa na Maisha yasiyo na stress Ila hua mnaendekeza uvichwa maji, Kwan ukiishi Mwenyewe utatoboka.. Saa nyingine unatakiwa uwe mbinafsi na kujipendelea.. hakuna upendo wa kweli zaidi ya kujipenda Mwenyewe..
 
Noma sana tatizo wanawake huwaga mkimsaidia mtu Mnawekaa sana moyonii yani kinawaumaa balaa hata kama Ni mumeoo...!! Kama jamaa aliona pesa unazo kwa kuwa ulijionesha sasa why asikushauri mambo mazurii Japo hapo kuna mwisho mbayaa wa vilioo na kusaga menoo
Aiseee sure kabisaa mwanangu Rikiboy mzee wa uzi pendwa japo ya huyu dada iko tofauti lakin akina dada wengi akikusaidia kitu ataongea kana kwamba hastahili kukusaidia ila ww ndo wa kumsaidia kila siku kuna bint mmoja niliwahi fahamiana nae kwenye daladala basi mara nyingi tukawa tunarud wote mitaa ya home tukitokea makazin jion japo tunafanya kaz sehem tofaut bas tukawa tunakutana kituo flan tunapanda gar kurud home wote mara zote hizo mm nkawa nalipa nauli tu na sikuzingine daladala zikizingua nachukua bajaji nalipa sasa kuna siku moja niko busy na simu konda anataka chake nkamwambia dada lipa nauli ya watu wawili duuuhh akalipa ila aliongea safar nzima et oooohhh siamin yaan leo nimemlipia nauli mwanaumeeeee!!! Keshasahau mm nimemlipia mara kibao tena sikuzingine daladala hakuna nachukua bajaji nalipa nauli kubwa zaid hawa viumbe banaaaa
 
Back
Top Bottom