Hakuna haja kuendelea kukagua maandalio pekee bali wapewe japo dakika hata 20 wafundishe darasani ili kuona pia nature ya wanafunzi walioko mashuleni.
Kama wakiendelea kukagua tu maandalio wataishia kuandika clean certificate kwa shule mwishowe wanafunzi wanafeli na walimu kuishia kufukuzwa ama kuhamishwa au wakuu kushushwa vyeo.
Madiwani na maafisa watendaji pia waelimishe wananchi wao kuhusu ushiriki wao juu ya kufuatilia maendeleo ya watoto wao kielimu badala ya kuendelea kushambulia walimu.
Jamii inapaswa kuwa makini na hili la elimu kwanza badala ya kuendelea na mambo ya ushabiki usio na tija.
Kama wakiendelea kukagua tu maandalio wataishia kuandika clean certificate kwa shule mwishowe wanafunzi wanafeli na walimu kuishia kufukuzwa ama kuhamishwa au wakuu kushushwa vyeo.
Madiwani na maafisa watendaji pia waelimishe wananchi wao kuhusu ushiriki wao juu ya kufuatilia maendeleo ya watoto wao kielimu badala ya kuendelea kushambulia walimu.
Jamii inapaswa kuwa makini na hili la elimu kwanza badala ya kuendelea na mambo ya ushabiki usio na tija.