donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,139
Haitoshi kusoma specs za simu kwenye gsmarena, naomba kwa wazoefu WA simu, kunijuza zaidi kuhusu hii simu ya Royole Flexpai 2, interns of ubora wake, na changamoto zake kabla sijafanya maamuzi ya kuinunua.
Cc: Chief-Mkwawa
Cc: Chief-Mkwawa