wajuzi wa katiba msaada tafadhali

Kingsharon92

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
8,389
Reaction score
11,887
wapendwa wana jukwaa poleni na
majukumu hebu wajuzi wa katiba
nchi yetu nipeni msaada kumekuwepo
na ubishani kuhusu mamlaka ya rais
kwa hawa watu
1 jaji mkuu
2 gavana benki kuu
3 CAG
Swali ni kwamba je akishawaapisha a
ana mamlaka ya kuwatumbua au kutengua uteuzi wao
nawasilisha
 
Hana hayo mamlaka ila ana uwezo wa kuteua miongoni mwa jamaa zake sasa sijui kama wanaweza kwenda kinyume nae.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…