Electrol collage hyo inaenda kumthbitisha DT hapo,maana wawakilishi wanaoenda ni wale wa chama chake tuuu,maana alishashinda.ni formality tuu ingawa wanaweza kumkataa lakini haijawahi tokea na haitatokea safari hii.Naomba kuelimishwa nimesoma kwenye wall ya Mwananchi katika fb nimeshindwa kuelewa kwa wanaofahamu huu utaratibu msaada wa kueleweshwa