Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Gazeti la Mwananchi linatumika mara nyingi na Zitto katika ajenda zake pamoja na Raia Mwema ingawa siku za karibuni Raia Mwema wameacha upuuzi
Pia latika kutumika huko kwa mwananchi kwa kumtumia Dennis Msacky na Boniface Meena(Sio Neville Meena) wamekua katika style ya kumhujumu Slaa na Mbowe.Pia hawathubutu kuichafua Chadema kwa kuwa ajenda yao itajulikana.Wanachofanua kiujanja ni kumpiga mchungaji ilii kondoo watawanyike
Pia Kama Dr.Slaa amekuta madudu hayo si ndiyo vizuri ili achukue hatia maana lengo la ziara yake ni kufanya ukaguzi?
Pia latika kutumika huko kwa mwananchi kwa kumtumia Dennis Msacky na Boniface Meena(Sio Neville Meena) wamekua katika style ya kumhujumu Slaa na Mbowe.Pia hawathubutu kuichafua Chadema kwa kuwa ajenda yao itajulikana.Wanachofanua kiujanja ni kumpiga mchungaji ilii kondoo watawanyike
Pia Kama Dr.Slaa amekuta madudu hayo si ndiyo vizuri ili achukue hatia maana lengo la ziara yake ni kufanya ukaguzi?