Wajumbe CCM (Mkoani/Wilayani) wabaki vibogoyo!

Wajumbe CCM (Mkoani/Wilayani) wabaki vibogoyo!

Kwa mabadiliko ya Katiba ya CCM yaliyopitishwa Jana tarehe 27/07/2025 Wajumbe hawana Nguvu tena ya kumpitisha Mgombea Ubunge/diwani wanayemtaka Bali kamati Kuu Taifa ndio itaamua Nani agombee. Poleni Wana CCM wemzangu. Kazi na Utu.
Kuna kamchezo kazuri sana hapo.


TATU BORA ZA WENYE PESA ZINA HATI HATI HAPO.
 
Kwa mabadiliko ya Katiba ya CCM yaliyopitishwa Jana tarehe 27/07/2025 Wajumbe hawana Nguvu tena ya kumpitisha Mgombea Ubunge/diwani wanayemtaka Bali kamati Kuu Taifa ndio itaamua Nani agombee. Poleni Wana CCM wenzangu.

#Kazi na Utu.#
Lucas Mwashambwa
Kila jambo linafanywa kwasababu zake, m/kiti amesema kuna jimbo lina wagombea wenye sifa zaidi ya 10, tuache uongozi wa juu ufanye kazi zake. Kule wilayani wenye nguvu za pesa wamehonga sana, mwenyekiti ana nia njema hasa kwa vijana ambao hawana uwezo kifedha. Mama ana nia nzuri sana tumwunge mkono
 
Kila jambo linafanywa kwasababu zake, m/kiti amesema kuna jimbo lina wagombea wenye sifa zaidi ya 10, tuache uongozi wa juu ufanye kazi zake. Kule wilayani wenye nguvu za pesa wamehonga sana, mwenyekiti ana nia njema hasa kwa vijana ambao hawana uwezo kifedha. Mama ana nia nzuri sana tumwunge mkono
Kwa hiyo Chama NI Mwenyekiti sio Katiba na Miongozo ya Chama?
 
Chama cha Mapinduzi chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kitatenda haki na haki itatendeka na kuonekana imetendeka. Siyo ni chama chenye mfumo imara na jicho kali lenye kuona hata vya gizani katika kuhakikisha kuwa wagombea wanakuwa ni watu sahihi na wenye kukubalika kwa watu na Jamii inayowazunguka .

CCM itapitisha na kuteua watu wenye usafi wa matendo ,tabia ,kauli pamoja na ushawishi kwa watu. Endeleeni kuwa na imani na CCM na muwe na imani kuwa hakuna ambaye ataonewa
 
Kwa mabadiliko ya Katiba ya CCM yaliyopitishwa Jana tarehe 27/07/2025 Wajumbe hawana Nguvu tena ya kumpitisha Mgombea Ubunge/diwani wanayemtaka Bali kamati Kuu Taifa ndio itaamua Nani agombee. Poleni Wana CCM wenzangu.

#Kazi na Utu.#
Lucas Mwashambwa
Kidumu Chama Cha Mapinduzi
 
Ndani ya CCM hutakiwi kitumia meno wala ubongo - wewe kazi ni moja tu kudumisha fikta sahihi za Mwenyekiti.

Atakachosema Mwenyekiti chochote wewe kazi ni moja tu ni kupiga makofi.
 
Sasa mtu km Agrrey Mwanri amesahau nini, ni kuidhalilisha bunge kuwa ni sehemu ya kupumzikia na kumalizia uzeee siyo kwenda kufanya kazi.
Wewe unamsema mzee wa Toronto wakati mwana wa Masatu ndio katika wale wanne wanaoteua.
 
Kila jambo linafanywa kwasababu zake, m/kiti amesema kuna jimbo lina wagombea wenye sifa zaidi ya 10, tuache uongozi wa juu ufanye kazi zake. Kule wilayani wenye nguvu za pesa wamehonga sana, mwenyekiti ana nia njema hasa kwa vijana ambao hawana uwezo kifedha. Mama ana nia nzuri sana tumwunge mkono
Lo !
 
Back
Top Bottom