Wajumbe 18 wa CWT kukiona cha Moto

Wajumbe 18 wa CWT kukiona cha Moto

Ushahidi utoke wapi? Kimfumo hawa CWT wapo chini ya serikali. So mambo yao mengi yanafichwafichwa tu.
Umejuaje wapo chini ya serikali ilihali katiba Yao inasema CWT ni Chama huru kisichoingiliwa na upande wowote wa serikali
 
#HABARI Msajili wa vyama vya wafanyakazi na waajiri amebatilisha uamuzi wa wajumbe 18 wa kamati ya utendaji wa taifa wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wa kushinikiza kumsimamisha Katibu wao mkuu Japhet Maganga kuendesha shughuli za taasisi hiyo.

Kufuatia uamuzi huo Rais wa CWT Leah Ulaya amelaani kitendo kilichofanywa na wajumbe hao kwa kukiuka katiba na misingi ya chama na kusema watachukuliwa hatua za kinidhamu.

“Kikao kilichofanyika hakikuwa halali na kilifanya maamuzi batili ambayo hayakuzingatia katiba na kanuni za CWT”. Amesema Ulaya.
#EastAfricaTVView attachment 2653494
Leteni hoja mzito tuzijadili, hivi vitaarifa vya kulenga kupotosha watu, havitawaongezea kira ndugu zangu, sisi watanzania tunajielewa na tumeelewa agenda zenu, ni watu munaongea bila fact. Ni nadharia tu.
 
I can't disapprove what you say but I need material fact, ukisema flani kauwa Kwa panga tunataka ulete panga likiwa na damu ya mtu, au video au picha yake akiwa anauwa. Huwez kusema mpwayungu village ni mwembamba ilihali hatujawahi kumwona kwahiyo tunatarajia ulete picha yake.

Narudia tena. Lete ushahidi wa vidhibitisho sio maneno matupu, nipe ushahidi wa gazeti, electronic evidence au case yoyote Ile iliyowahi kuwakuta nawakahukumiwa
Kaka Hawa watu hata Mimi nishawachoka, taarifa na mijadala Yao ni kama tetesi za usajili na pindi ligi zinapofika mwisho, au magazeti ya udaku.
 
Kaka Hawa watu hata Mimi nishawachoka, taarifa na mijadala Yao ni kama tetesi za usajili na pindi ligi zinapofika mwisho, au magazeti ya udaku.
Ipo hivyo, MIMI huwa nipo neutral mpaka ni prove uhalisia wa jambo lolote linalosemwa, huwa najizuia kuattack jambo kama Sina ushahidi unaogusika
 
Leteni hoja mzito tuzijadili, hivi vitaarifa vya kulenga kupotosha watu, havitawaongezea kira ndugu zangu, sisi watanzania tunajielewa na tumeelewa agenda zenu, ni watu munaongea bila fact. Ni nadharia tu.
Ndoivo
 
CWT ndiyo sababu ya msingi kwanini walimu wanalipwa mshahara mdogo na hawana posho yoyote.Sasa hivi wako busy kuchuana mahakamani wakigombea kugawana michango ya fedha inayokatwa kutoka kwenye mishahara .Kila jambo lahitaji uongozi.Wangetumia nguvu na muda wao kuishinikiza serikali lazima hatimaye Inge give up na kuboresha maslahi ya walimu
 
Kivipi nakati juzi mlisema aliyefukuzwa ni mipango ya serikali aligomea teuzi ya Rais, kaja huyu kamkingia kifua pia mnasema serikali inawatetea sasa mpo upande upi?

Shida ya wabongo ndohiyo kama ya kwako huwa wanalalamika bila fact, ebu toa material fact ili watu wakuelewe, weka na vifungu vya kisheria ikiwemo kesi zilizowahi kuendeshwa mahakamani ili uwe na uzito wa hoja yako kuwa cwt ni ccm siyo unaongea tu kufata mkumbo ili upedwe na kundi la watu wanyonge

Ebu tuambie ubaya wa CWT Kwa vidhibitisho, iwe video, gazeti, decided case au ACT yoyote Ile ambayo wameivunja hapo mimi nitakuelewa maana usiwe kama Halima mdee wa Jana akawa anahaha tu kulaani mkataba akiulizwa ubaya upo Wapi anasema anaona mbali
Hao viongozi wote wanapigania hela za walimu tu. Na ndiyo maana walimu wenye akili timamu wanahama huko CWT, na kujiunga na chama kipya.

Hivyo sina sababu ya kumtetea yeyote hapo, pamoja na chama chao cha ccm.
 
Hao viongozi wote wanapigania makato ya 2% kutoka walimu tu. Na ndiyo maana walimu wenye akili timamu wanahama huko CWT, na kujiunga na chama kipya.

Hivyo sina sababu ya kumtetea yeyote hapo, pamoja na chama chao cha ccm.
Mimi sikupingi hoja yako ila sitakuwa tayari kukubali bila udhibitisho wa kisheria, una uhakika hicho Chama kipya sio tawi la ccm? Hicho Chama kipya hakifuji pesa za walimu? Hicho Chama kipya kimewatetea nini walimu wao? Ukijibu hizi hoja nitakualika wavuvi camp Leo tule lamb chops na kunywa Heineken zisizo na Kikomo
 
Acha kuwatetea hao CWT. Ushahidi wa nini ? Kimsingi hicho chama hakiwajali wanachama wake.
Kuomba ushahidi ni kuwatetea?, basi hakimu hana haja ya kuomba ushahidi Kwa public juu ya mtuhumiwa wa murder case maana ataonekana anamtetea defendant
Anamtetea Msukuma mwenzake.........aliyewekwa na Marehemu Mwendazake!
 
I can't disapprove what you say but I need material fact, ukisema flani kauwa Kwa panga tunataka ulete panga likiwa na damu ya mtu, au video au picha yake akiwa anauwa. Huwez kusema mpwayungu village ni mwembamba ilihali hatujawahi kumwona kwahiyo tunatarajia ulete picha yake.

Narudia tena. Lete ushahidi wa vidhibitisho sio maneno matupu, nipe ushahidi wa gazeti, electronic evidence au case yoyote Ile iliyowahi kuwakuta nawakahukumiwa
👏👏👏👏👏👏👏👏
 
Mimi sikupingi hoja yako ila sitakuwa tayari kukubali bila udhibitisho wa kisheria, una uhakika hicho Chama kipya sio tawi la ccm? Hicho Chama kipya hakifuji pesa za walimu? Hicho Chama kipya kimewatetea nini walimu wao? Ukijibu hizi hoja nitakualika wavuvi camp Leo tule lamb chops na kunywa Heineken zisizo na Kikomo
Dah! Ngoja wenye vyama vyao waje wanisaidie aisee.
 
I can't disapprove what you say but I need material fact, ukisema flani kauwa Kwa panga tunataka ulete panga likiwa na damu ya mtu, au video au picha yake akiwa anauwa. Huwez kusema mpwayungu village ni mwembamba ilihali hatujawahi kumwona kwahiyo tunatarajia ulete picha yake.

Narudia tena. Lete ushahidi wa vidhibitisho sio maneno matupu, nipe ushahidi wa gazeti, electronic evidence au case yoyote Ile iliyowahi kuwakuta nawakahukumiwa
Unakumbuka CWT ya enzi ya kina Gratian Mukoba?.
 
Back
Top Bottom