Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,598
Habari waungwana ....
Nimefuatilia na kugundua kuwa historia walioiandika wazungu kuhusu Afrika ni uongo mtupu wa kujiongezea sifa ...
Uliwahi kufuatilia historia ya Watu hawa ....
1. Mkwawa.....
2. Songea ..
3. Mwanamalundi
4. Omukama Lutinwa
Nitaongelea wawili wa kwanza kwa sababu ndo nimeanza nao kufuatilia.
Kwanza Mkwawa hakuuawa na wala mwili wake / kichwa chake hakipapelekwa popote .. mwenye swali namkaribisha ....
Pili Mzee songea aliwaomba wakoloni wamuue (yeye mwenyewe) kisa ni kwamba wenzake 66 walikuwa wamenyongwa na kufa kabisa ... mwenye swali namkaribisha
Na pia mwenye kuelewa zaidi kuhusu watu wetu mashuhuri atuwekee hapa ili watoto wetu wasiendelee kukaririshwa mauongo ya wazungu kuhusu historia ya Afrika.
Nawasilisha ...
Nimefuatilia na kugundua kuwa historia walioiandika wazungu kuhusu Afrika ni uongo mtupu wa kujiongezea sifa ...
Uliwahi kufuatilia historia ya Watu hawa ....
1. Mkwawa.....
2. Songea ..
3. Mwanamalundi
4. Omukama Lutinwa
Nitaongelea wawili wa kwanza kwa sababu ndo nimeanza nao kufuatilia.
Kwanza Mkwawa hakuuawa na wala mwili wake / kichwa chake hakipapelekwa popote .. mwenye swali namkaribisha ....
Pili Mzee songea aliwaomba wakoloni wamuue (yeye mwenyewe) kisa ni kwamba wenzake 66 walikuwa wamenyongwa na kufa kabisa ... mwenye swali namkaribisha
Na pia mwenye kuelewa zaidi kuhusu watu wetu mashuhuri atuwekee hapa ili watoto wetu wasiendelee kukaririshwa mauongo ya wazungu kuhusu historia ya Afrika.
Nawasilisha ...