dah! Lips Za Jamaa Zina kutu balaa ndo maana demu wangu anapenda lips zangu, hata hapa hom pia ,Madem wengi wanadata nami!
Shuby
Na wewe tafuta, as simple as that.Anatafuta Uwaziri
Mara nyingine huwa napanda Bajaj kutoka site mpaka ferry. Kisha navuka. Wengine hushangaa kuniona hivi!
![]()
Mbona naona hapo kila mtu yupo na mambo yake hakuna hata anayemshangaa
dah! Lips Za Jamaa Zina kutu balaa ndo maana demu wangu anapenda lips zangu, hata hapa hom pia ,Madem wengi wanadata nami!
Shuby
huyo jamaa huoni kichwa chake kinafanana na yule Dr aliyegawana na Bashe Jimbo la Nzega? ana picha ingine kapanda Bodaboda huko ArushaKumbe nawe hujaelewa ka mimi
kigwangala anasumbuliwa sana na ushamba,sijui anajiuonaje
Mara nyingine huwa napanda Bajaj kutoka site mpaka ferry. Kisha navuka. Wengine hushangaa kuniona hivi!
![]()
ni mmewe huyo mama hapo juuHuyu ni nani? Hiyo pic cjaielewaaa!