Mazuzu wanaoingia biashara kikichwakichwa wataamini. Watatoa pesa zao ku nunua mbegu, mabanda, mabanda na kulipia gharama za ushauri na pesa haitorudiDuh kuchi laki 5?
Hii fursa ilinipotaje??? Ningewauzia majongoo wangu wana jf
Hivi hii biashara ya sungura watu wanaamini????
Wewe hujaeleweka, unapinga bila ya ushahidi!
Wewe hujaeleweka, unapinga bila ya ushahidi!
Wewe hujaeleweka, unapinga bila ya ushahidi!
Wewe hujaeleweka, unapinga bila ya ushahidi!
Wewe hujaeleweka, unapinga bila ya ushahidi!
sawaWewe hujaeleweka, unapinga bila ya ushahidi!
kuna supu ya mafuzi ya kunguru milioni.bora nifuge kunguruElfu 65 usawa huu kitu cha 1kg - 1½kg.....
ni ghiriba ya wazi
Hah hahhh haaaa chupi kikamba zako utazikuta mtini wameenda kutengeneza viotakuna supu ya mafuzi ya kunguru milioni.bora nifuge kunguru
ahahaaa kunguru hana adabu kabisa yaaniHah hahhh haaaa chupi kikamba zako utazikuta mtini wameenda kutengeneza viota
sungura ukimkata kichwa, ukamtoa utumbo ukamtengeneza, anabaki na uzito gani? Hako kanyama ni taahira gani atakanunua kwa TZS. 65,000/- Je wewe binafsi unaweza kununua Nyama hiyo kwa kiasi hicho?asante bujibuji kidogo nifuge hao viumbe
mambo ya wazungu kaka nitajuaje?sungura ukimkata kichwa, ukamtoa utumbo ukamtengeneza, anabaki na uzito gani? Hako kanyama ni taahira gani atakanunua kwa TZS. 65,000/- Je wewe binafsi unaweza kununua Nyama hiyo kwa kiasi hicho?
TZS.65'000/- kwa mboga ya kilo 1-1½Kama walivo kuku choma kila mahali unapata, ndivo na mfugaji solo lake lilivyo, popote atauza' Hawa sungura choma sijawai on a mahali wanauzwa"
Hali ngumu Wazungu wenyewe wanafungasha virago na kuondoka Tz.mambo ya wazungu kaka nitajuaje?
Wewe unaweza kununua sungura mmoja wa kilo MOJA kwa 65'000/-??Wewe hujaeleweka, unapinga bila ya ushahidi!
Kabisa???Naelekea Magogoni kuomba Venue nifanyie mkutano wangu wa chama, nitawaomba wanipatie pia caterer Wao pengine huwa wanaweka na hio sungura choma.