Ni baada ya kuona linaenda mlama na kpoteza mwerekeo na matumain ya kufka,kna hatar ya dereva kujikta hana abilia
Endelea kuishi kula na kunya kwa kuitegemea Ukawa maana huna ujanja wao ndo wamekuweka mjini ukitokea kijijini kwako kuleNi baada ya kuona linaenda mlama na kpoteza mwerekeo na matumain ya kufka,kna hatar ya dereva kujikta hana abilia
Baada ya Oktoba muendelee kuwa wengi humu kama mlivyo na njaa zenu hizo.Na tairi ni kipara wanaogopa zisipasuke wameamua kushuka. Safi sana waje ukawa kwenye treni la umeme
Endeleni kupumulia mashine kafala yenu haiko mbaliNawengine hawashuki kihasarahasara wanachomoa na vifaa(wanalamba takrima halafu tar25/10 kura UKAWA)
Bibi yako mwenyewe mchawi wa nini huku ccm?Na bibi yangu kashuka...
Dreva wenu Lowassa kimeo hawezi kusimama hata nusu saa, sasa hapo lipi ni gari bovu? We mwehu kweliMkuu mimi nilikuwa abiria wa kwanza kushuka. Hata dreva awe shupavu na stadi namna gani hawezi kuendesha gari bovu kabisa na chakavu ambalo hata mmiliki anaogopa kujitambulisha na kumsukumia dreva ajitambulishe kama mali yake ili watu waamini litafika salama.
LOWASSA MZIMA? Mbna hawezi kusimama japo dakika 20?Na tairi ni kipara wanaogopa zisipasuke wameamua kushuka. Safi sana waje ukawa kwenye treni la umeme
Uko lindo la mchana wewe endelea kupiga dili, mwaka huu mtaendelea kuwa wasindikizaji tuNi baada ya kuona linaenda mlama na kpoteza mwerekeo na matumain ya kufka,kna hatar ya dereva kujikta hana abilia