Mie kwa kuanzia ikimalizika bando yangu ya Bomba30 naitelekeza modem ya Voda kama nilivoitelekeza modem ya Sasatele. Nitachagua kati ya bando za Airtel au tIGO naskia wanayo bando ya unlimited kwa 25 K, maisha yataendelea kama kawa/
oy wajameni, wale wa kubundika kijanja ndio mwisho wetu... Wamefuta bhana ile offer yao. Yaani kushney kabisa. Nimeiangalia ile msg yao mara mbili-mbili ila naona hawajakosea. Wameamua kuifutilia mbali....doh!
Mbona bado ipo! Acha uvivu wa kuperuzi, usikariri siku zote> Bofya *149*01# kisha chagua na. 6 kwenye menu hiyo :Internet & BB; Kisha bofya namba 1: Wajanja Night Offer.
Mbona bado ipo! Acha uvivu wa kuperuzi, usikariri siku zote> Bofya *149*01# kisha chagua na. 6 kwenye menu hiyo :Internet & BB; Kisha bofya namba 1: Wajanja Night Offer.
Mbona bado ipo! Acha uvivu wa kuperuzi, usikariri siku zote> Bofya *149*01# kisha chagua na. 6 kwenye menu hiyo :Internet & BB; Kisha bofya namba 1: Wajanja Night Offer.
Mbona bado ipo! Acha uvivu wa kuperuzi, usikariri siku zote> Bofya *149*01# kisha chagua na. 6 kwenye menu hiyo :Internet & BB; Kisha bofya namba 1: Wajanja Night Offer.