Wajameni FATMA KARUME aliishia wapi?

Wajameni FATMA KARUME aliishia wapi?

Alikuwa mjengaji hoja mzuri na mpigania haki , mwanasiasa mzuri. Freedom fighter one can dare say! Nini kilimtokea?
Hebu acheni tashtiti za kike pambaneni na mambo ya Lissu kwanza nyie madomo debe
 
Kobazi ndio maana marekani inawauwa wapumbavu nyinyi
Upo nje ya mada na kwa akili hizo ndo maana makatekista wanawapyambya nyie. Hata hivyo, hakuna Raha kama kufa ukiwa unapigania haki......Raha hatari. Kama unafikiri mauaji ya USA yanawaogopesha watu basi you have another think coming, dogo!
 
Upo nje ya mada na kwa akili hizo ndo maana makatekista wanawapyambya nyie. Hata hivyo, hakuna Raha kama kufa ukiwa unapigania haki......Raha hatari. Kama unafikiri mauaji ya USA yanawaogopesha watu basi you have another think coming, dogo!
Kufa kwa kupigania haki ndiyo mpango mzima, hata wale wa MO29 ni mashujaa wa Tanganyika.
 
Unamaanisha wale majambazi waliokuwa wanapora Mali za watu?!!!
Sizungumzii majambazi ya Iran yanayolazimisha watu kuvaa kininja kwenye joto kali huku binti zao wanaishi kwa kuvaa vibikini kwenye nchi za baridi. Wonders shall never end.
 
Back
Top Bottom