Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,453
Kupitia kipindi cha Jahazi,cha Clouds fm,Mbunge wa zamani wa Ukonga kwa tiketi ya CDM, Mwita Waitara amesema wanasiasa wanaodumu kwa muda mrefu kwenye chama kimoja ni "Manungayembe".
Waitara amesema huwezi kuwa awamu zote we upo upinzani tu lazima ubadilike..."huwezi kuwa miaka yote upo upinzani tu kaja Nyerere we ni mpinzani, kaja Mwinyi we ni mpinzani, kaja Mkapa bado uko upinzani, mzee Kikwete we upo upinzani hadi Magufuli bado unapinga tu we huwezi kuwa mwanasiasa we ni Nungayembe tu" amesema Waitara.
Waitara alijiuzulu nafasi yake ya ubunge na kujivua uanachama wa Chadema na kujiunga na CCM mapema mwezi huu, kwa madai ya kuunga mkono juhudi za rais Magufuli
Waitara amesema huwezi kuwa awamu zote we upo upinzani tu lazima ubadilike..."huwezi kuwa miaka yote upo upinzani tu kaja Nyerere we ni mpinzani, kaja Mwinyi we ni mpinzani, kaja Mkapa bado uko upinzani, mzee Kikwete we upo upinzani hadi Magufuli bado unapinga tu we huwezi kuwa mwanasiasa we ni Nungayembe tu" amesema Waitara.
Waitara alijiuzulu nafasi yake ya ubunge na kujivua uanachama wa Chadema na kujiunga na CCM mapema mwezi huu, kwa madai ya kuunga mkono juhudi za rais Magufuli