Uchaguzi 2020 Waitara: Nimeisambaratisha CHADEMA Ukonga, sasa nahamia Tarime Vijijini

Uimara wa Heche mnajifurahiasha tuu, hata kupata wenyekiti wa kanda ya Serengeti hakuweza kupata, alipigwa chini na mdada. Kama angekuwa maarufu kiasi hicho mnachosema asinge pigwa chini katika nafasi ya Uenyekiti wa kanda ya Serengeti, hicho kitu kisingetokea. amkeni amkeni.
 
Ufipa wanahaha kuokoa jahazi, ila DJ anawangusha sana, Ulevi, Uzinzi, ubabe na Kula ruzuku ya chama kimewakimbiza viongozi wengine na wanachama wa kawaida! CDM kimefia mikononi mwa DJ
Acha ubwege kwa Akili zako finyu unaona Neno DJ ni tusi wakati ni fani nzuri tu inayoleta kipato na wewe mwenyewe huzurula night club na Le mutuz ni madj huwafanya mtembee usiku, ruzuku ya chadema hailiwi kienyeji kama ruzuku ya CCM ambayo hutumika kuwahujumu chadema huku wajanja wachache wakila pesa nyingi kwa kisingizio cha kuifuta chadema, CAG alisema chadema wapo safi na sasa mmepeleka Takukuru mtaambulia patupu, ulevi uzinzi upo huko CCM mbona viongozi wa CCM wamezaa watoto na Shemeji zao, chadema haifi mikononi mwa mbowe wanajua boss zako ndiyo maana kutwa kuwabambikia kesi za kila aina kuwapiga risasi lakini chadema ipo na itadumu milele.
 
Waitara hakwenda CCM kuwatumikia wananchi yeye kaenda huko kwa masilahi yake kuwakomoa chadema
 
Mtu mzima kusema unasambaratisha upinzani amabao upo kwa mjibu wa katiba ni kutokojitambua. Mheshimiwa Magufuli angalia watu unaowapa uwaziri maana huyu naye kuitwa ni waziri ni shida. Sijui kama kwenye hiyo wizara amesaidia chochote.
Wizara wanajuuta kumjua ni mshamba sana utendaji wake wa kazi ni wa hovyo hovyo sana anapenda majungu majungu fitna ni mtu mjinga mjinga sana
 
Bara bara ya moshi bar Mombasa in mashimo sana Huyu mpumbavu anaumwa kweli.
Ukonga kupo hovyo hovyo hakuna kitu kimefanywa na waitara, wananchi walijitolea kwenda Dodoma akaishia kuwalazimisha wanywe bia hataki kusikia kero zao
 
Mwambie Mvimba Macho kwamba habari zake tunazo zile Vault alizofungua GOGOKI kwamba Dally Kimoko!!
 
Tunataka maendeleo sijui Chadema ccm ushu.z.i gani mwambie m/kiti wenu.
 
Kama Mwanza walimkosa kosa kipigo, Tarime watamkamua kinyesi kabisa.

 
Na kwa taarifa yenu tutalihami tena Jimbo la Ukonga....
Wana ukonga hututoi CCM...
BRAVOO HAPA KAZI TU!!
 
Nina wasiwasi wako na uelewa wako. Mimi huwa sina chama na si shabikii ujinga. Nimesema alichokifanya waitara ni kuwanyima fursa wananchi kwa kuaribu au kutengeneza mazingira ya wawakilishi wa wananchi ambao wanatokea upinzani kushindwa kufanyakazi. Na hilo kajinasibu yeye mwenyewe. Kimuonekano atasema kawakomoa wapinzani ila kiuhalisia katukomoa wananchi. Hata wanao mkwamisha magu nao akili zao ni kama za Waitara tu coz wanatukoa wananchi wote. Kwa akili zako, kama kuna mradi wa maji katika sehemu ya upinzani then Waitara anaukwamisha, unahisi kamkomoa kiongozi au akina mama wenzio wanao amka usiku kutafuta maji?
Amka wewe, acha ushabiki maandazi, simama kama mtanzania na sio kama cdm au ccm. Hizo akili zenu za uchama, zitabomoa hii nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…