Mbunge Waitara ambaye pia ni mbunge wa jimbo la UKONGA ambapo alikuwa ameongozana na aliyewahi kuwa mbunge wa MUSOMA MJINI Mh. Vicent Nyerere ambao wote kwa pamoja walikuwa wageni katika kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Dkt. Gwajima
Ambapo amesema kwamba alifaamiana na Askofu Gwajima alipokuwa Mahakama ya Kisutu ambapo wote kwa pamoja walikuwa wameshitakiwa, ambapo alishitakiwa akiwemo yeye, mbunge wa Ubungo, Said Kubenea na madiwani wengine 9 wa manispaa ya Ilala kwa kutaka kuvuruga uchaguzi wa meya ambapo kesi hiyo ilidumu kwa mwaka 1 na baadae kushinda.
Huku akijiita Leo maana yake Simba. Asema kwamba kuwa mbunge wa UKONGA ni kwamba hajazuka tu, asimulia pia maisha yake ikiwepo shule na chuo alichosoma akiwa mkoani Dar es salaam.
Auzungumzia pia MWENGE ambao unatumia gharama nyingi katika kuuendesha kuanzia posho, mafuta ya gari, misafara mirefu, kunywa, kula na watu kukesha.
Aiponda bajeti iliyopita ambayo serikali iliinadi kwamba ni bonge la bajeti haijawahi tokea, na kuzungumzia maswala ya Bungeni kutunga na kusimamia sheria mbalimbali kwa wananchi wake.
Bado mkuuVp leo hajaleta ishu za kolomije maana zile ndiyo zinamvuto zaidi.
Dudeeeeeamshaamsha madudeee
Akileta tumegee.Bado mkuu
Ya Duniani mengiNaona ukitaka usikike na kuongelewa sasa ni kwenda kwenye makanisa yanayopenda vichambo vya kila aina
Duniani kuna mengi na maajabu hayaishi
Pamoja mkuuAkileta tumegee.
Alichokifanya makonda leo kwenye mashindano ya kusoma quran ni ini kama sio siasa. Au siasa ni pale tu wanapoongea wapinzaniHatari sana kutumia Ibada na misa kutangaza mikakati ya siasa
Makonda ndo wale wale tu Ma-CCMAlichokifanya makonda leo kwenye mashindano ya kusoma quran ni ini kama sio siasa. Au siasa ni pale tu wanapoongea wapinzani
Ndo hivyo mkuuMhh! Gwajima ana mvuto mno
LimeamkaTuna Liamsha Dude...........
Makonda hatangazi siasa bali anaeleza Serikali ya Mkoa na Serikali kuu kinachofanywa kuhusu wana Dares salam.Alichokifanya makonda leo kwenye mashindano ya kusoma quran ni ini kama sio siasa. Au siasa ni pale tu wanapoongea wapinzani
Simba kibao mkuuHii nchi ina Simba wengi kuliko....
Kanisani na Siasa duuh
AlichanganyaAliyeenda kwa mzee wa Upako hakuchanganya dini na siasa ?
Alichanganya mkuuAliyeenda kwa mzee wa Upako hakuchanganya dini na siasa ?