Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,056
Waitara endelea na maisha yako ccm ya Chadema waachie wenyewe kina Mbowe, wewe endelea kwa Sasa kuuza Sera za chama chako...full stop.
Atachoka na ingawa kwenye vijungu huwa ni ving'ang'anizi, mtakujamchoka kama Mpendazoe. Bado kitambo kidogo tu.Huu ndio ukweli mchungu mkuu. Muda utaongea wakati utakapofika. Kuna mengi sana yanaendelea katika hilo "Genge" la Mwenyekiti. Waitara anaongea yale ambayo wengi wao hata Lissu anatamani lakini anaogopa kutamka hadharani. Ila mioyo yao imekinai Mwenyekiti na GENGE lake.
NB: Mods kwa nini mmeunganisha huu Uzi wa britanicca ?