britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Katika mahojihano na 360 ya clouds fm, aliyekuwa mbunge wa Ukonga, Mheshimiwa Mwita Waitara amesema
Kila anayeitaka nafasi ya uenyekiti ndani ya CHADEMA lazima apotee au afukuzwe,
Kaeleza kwamba professor ....' alimuita akamueleza kwamba "Mbowe hakutaki hapa anaongea mpaka anapanda juu ya meza kuonesha msisitizo kwamba huitajiki"
Akasema au unataka yakutokee ya wangwe au ya wengine?
Maana mpaka Leo suala la risasi za Lissu kuna mkanganyiko mara kushoto mara kulia, na mara hatutaki dereva ahojiwe,
Kauli hiyo imenipa wasi wasi sana
Kila anayeitaka nafasi ya uenyekiti ndani ya CHADEMA lazima apotee au afukuzwe,
Kaeleza kwamba professor ....' alimuita akamueleza kwamba "Mbowe hakutaki hapa anaongea mpaka anapanda juu ya meza kuonesha msisitizo kwamba huitajiki"
Akasema au unataka yakutokee ya wangwe au ya wengine?
Maana mpaka Leo suala la risasi za Lissu kuna mkanganyiko mara kushoto mara kulia, na mara hatutaki dereva ahojiwe,
Kauli hiyo imenipa wasi wasi sana