Waitara anajiaibisha kila kukicha bungeni

Waitara anajiaibisha kila kukicha bungeni

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Mbunge anayeibuka na maneno ya kujikomba ili kulinda kibarua chake huyo ni ndumila kuwili.

Nadhani sasa hivi Waitara anaiwazia sana nafasi yake ya ubunge pale Tarime ndiyo maana anayafanya mambo ya hovyo.

Ebu msikilizeni kwanza ndiyo mtajua namaanisha nini.

Hivi huyu ndiye mbunge anategemewa auchambue mchakato wa kubinfsisha bandari kwa manufaa ya taifa?

 
Wabunge wanaongea kwa tumia HAMASA na kufukuzia TEUZI badala ya kutumia WELEDI
Huku mitaani kuna WASOMI wa kila aina kuliko huko bungeni hivyo lazima wajue kuwa kila wanachoongea na kuchambua watu huku mitaani wanafanyia PERFORMANCE APPAISAL kwa maslahi mapana ya Tanganyika.
Sahihi kiongozi hawa ni aina ya wabunge wa matumbo yao na siyo kwa manufaa ya uwakilishi wa wananchi
 
Aidan amejibu vizuri hii hoja. Shida yao ni kuwa wanaona kuwa wanaostahili heshima ni viongozi wa vyama vyao tu. Ingekuwa sio, Spika angemtaka huyu jamaa atoe ushahidi kuwa Mh. Mbowe kasema Rais na Waziri wa kizanzibari wameuza bandari zetu!

Amandla...
 
Mbunge anayeibuka na maneno ya kujikomba ili kulinda kibarua chake huyo ni ndumila kuwili.

Nadhani sasa hivi Waitara anaiwazia sana nafasi yake ya ubunge pale Tarime ndiyo maana anayafanya mambo ya hovyo.

Ebu msikilizeni kwanza ndiyo mtajua namaanisha nini.

Hivi huyu ndiye mbunge anategemewa auchambue mchakato wa kubinfsisha bandari kwa manufaa ya taifa?

View attachment 2652640View attachment 2652641
Ndiyo maana linajikojoleaga halina akili kabisa,kwanza linawadhalilisha Wakurya.
 
Mbunge anayeibuka na maneno ya kujikomba ili kulinda kibarua chake huyo ni ndumila kuwili.

Nadhani sasa hivi Waitara anaiwazia sana nafasi yake ya ubunge pale Tarime ndiyo maana anayafanya mambo ya hovyo.

Ebu msikilizeni kwanza ndiyo mtajua namaanisha nini.

Hivi huyu ndiye mbunge anategemewa auchambue mchakato wa kubinfsisha bandari kwa manufaa ya taifa?

View attachment 2652640View attachment 2652641
Kwenu mtu wa maaana , Nikama vile akina mdude na lemaa.
 
Mbunge anayeibuka na maneno ya kujikomba ili kulinda kibarua chake huyo ni ndumila kuwili.

Nadhani sasa hivi Waitara anaiwazia sana nafasi yake ya ubunge pale Tarime ndiyo maana anayafanya mambo ya hovyo.

Ebu msikilizeni kwanza ndiyo mtajua namaanisha nini.

Hivi huyu ndiye mbunge anategemewa auchambue mchakato wa kubinfsisha bandari kwa manufaa ya taifa?

View attachment 2652640View attachment 2652641
Hadi nimetamani kutukana. Eniweis, njaa ni mbaya sana kwa kweli.
 
Back
Top Bottom