Wewe unaharisha midaaa hiii labdaa, si Kwa hayo matusii mitandaoniii. Hujui kutukana mitandaoni nikinyume na sheriaPumbavu naona unanjaaa inakusumbua
Spika anasema wameipitisha lakini kuna maoni tofauti kutoka kws wansnchi. Sasa sijui bunge lilimuwakilisha naniWabunge wanaongea kwa tumia HAMASA na kufukuzia TEUZI badala ya kutumia WELEDI
Huku mitaani kuna WASOMI wa kila aina kuliko huko bungeni hivyo lazima wajue kuwa kila wanachoongea na kuchambua watu huku mitaani wanafanyia PERFORMANCE APPAISAL kwa maslahi mapana ya Tanganyika.