Mtabiri pompoma, upo?NATABIRI:
HUU UZI HAUTOKUWA NA MAISHA MAREFU HAPA JF.
We mfuate sheikh yeyote tu alokua karibu yko mueleze shida yakoBahati mbaya nimezaliwa familia ya kikristu. Nataman kubadili dini, nashindwa! Nifanyeje
Kama kweli uko serious basi hii ni Neema uliyopewa na MunguBahati mbaya nimezaliwa familia ya kikristu. Nataman kubadili dini, nashindwa! Nifanyeje
Hacha ujinga ww unahisi maisha ni dini tu, au utajiri au michezo. Hivi unajua sisi kama society yenye same culture tunahitaji nn ili tuishi?Kumbe anayosemaga mzee Mohamed Said kuwa waislam wanaonewa na kutengwa yote siyo sahihi.
Waislam ndio wanaokula keki ya nchi.
Labda mzee Mohamed Said anachokitafuta ni roho za watu wasiokuwa waislam ili afurahishe nafsi yake.
UgaidiWasio kua waislamu wote wanawachukia sana waislamu tena kwa imani za kulishwa na wazazi wao toka utotoni
Popote ple atakapokaa Muislamu na non Muslim lzma kutatokea tu kitu
Sisi Waislamu dini yetu inatufundisha Amani ndo maana halisi ya Uislamu na imani yetu ni kua Mungu ni mmoja tu na issa(yesu) sio Mungu bali ni mtume wa Mungu kma Mitume wengine
Sasa sikiliza habari za upande wa pili huko utaambiwa wale ni waabudu majini tu na wana majini mengi tu.Hizi chuki wakristo mnapandikizwa toka utotoni kwenu sasa na nyinyi badala ya kutafuta ukweli mnaishia kuamini ivo ivo.
All Non Muslims jichunguzeni vzr tafuteni ukweli kuhusu dini yenu hlf ndo muanze kuongea.
Una maana wewe,tena una utindio wa ubongo waisalma hata 1% ya Watanzania hawafiki.tanzania waislamu ni 90/% wananchi wake ni waislamu ila wengi hawaingii msikitini lakini kama siku mungu akiwakbusha waingie msikitini sala 5 tanzania itakuwa kama mwezi wa ramadhani kwa siku zote kwenye sensa hawataki kuandika dini na waislamu tanzania wakiamua wote wavae kanzu aaaa utahesabu mmoja mmoja wenye suruali
Kukata majina ya kiislamu kwenye elimu na ajira lakini bado wanapata mafanikio kimaishaWanawabeba ila utambuwe wakristo ni moto wa kuotea mbali kabisa
Uislamu uruhusu au ukataze bado kutenda kunabaki kwa muhusika.... kufanya au kutofanya ni hiari sio lazima kwa mtendaji.Ndiyo uislam unaruhusu ungekuwa hauruhusu wasingefanya hayo.
Sio kweli ni 90%.... tafuta datatanzania waislamu ni 90/% wananchi wake ni waislamu ila wengi hawaingii msikitini lakini kama siku mungu akiwakbusha waingie msikitini sala 5 tanzania itakuwa kama mwezi wa ramadhani kwa siku zote kwenye sensa hawataki kuandika dini na waislamu tanzania wakiamua wote wavae kanzu aaaa utahesabu mmoja mmoja wenye suruali
Povu tulia dawa ikuingieMleta Mada, angalia sana usije ukamkasirisha MUNGU. Natumaini kuwa MUNGU ameyapuuza makufuru yako hayo. Usilete udini ndugu.
Nitakuuliza neno moja kuhusu hao watawala unaosema hawako hai. Je, Maalim Self Mungu amrehemu, alikuwa Mkristo?. Je unafahamu kuwa Maalim Seif alikuwa Icon halisi ya vyama vya upinzani?. Tena alikubalika kwa watanzania wote dini zote.
Maisha ya mtu yanaamuliwa na Muumba sio wewe wala Ibilisi . Acha kujikinai ndugu omba toba.
Haya, wanamuziki wakubebaje?. Ivi, nyimbo zinazoimbwa leo na hao uliowaorodhesha, ni mstaarabu gani atakayeangalia au kusikiliza nyimbo zilizojaa maneno machafu . Mfano, "mke wa mtu, sumu, mume wa mtu maziwa ".
Ule wimbo Nyegezi. Haya ule wimbo Sukari, unaelewa maana yake?. Hao wanakubeba wewe mwenye mtazamo huo na sio wastaarabu.
Tulio wastaarabu tunapoona michezo ya ajabu ajabu Kama Mapooka tunahamisha channel.
"Wanatubeba", watubeba kutuelekeza Shimoni.
Kalaga bahho.
We soma weee mwisho nikipato tuuWewe njoo kwenye sector kisector nani anatisha tuanze na elimu nani anatisha [emoji3]