My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,356
- 2,100
Naomba nieleweke kwa uzuri kabisa, isionekane nimeamka na kuamua kuchoose violence kwa ndugu zangu waslamu, hili swala limetokana na tabia moja ambayo naamini inafanywa na waislamu naiona haiko sawa hata kidogo zaidi ya kuharibu future za watoto wa maskini.
Ninachokisema hapa nimekishuhudia mwenyewe kwa kuwahoji hawa watoto.
Ni hivi, kuna hii trend ya kujengwa misikiti kila sehemu, na hii inatokana na watu wanaojua namna ya kuzipata pesa za Waarabu kwa kutumia proposal ya kujenga misikiti yenye hostel.
Sasa ishu inakuja kwa hao watoto wanaosomeshwa kwenye hiyo misikiti, asee unakuta wanachukuliwa mikoani huko ndani ndani kwenye familia maskini ambazo zimeshindwa kuwapeleka watoto wao wakapate elimu dunia ya bure ya Magufuli, lakini unakuta hawa mabwana wenye pesa za Waarabu badala ya kuwapeleka shule wakasome vizuri instead wanawachukua hawa watoto ambao hawajui kusoma wala kuandika ila wanapewa elimu ahera peke yake.
Hawa watoto wananyimwa fursa nying sana kwenye maisha yao, kwasababu watabaki kuwa mashehe tu kama fursa peke yake watakayoweza kuifanya ukubwani.
Hili nimelikuta Mbeya mjini sehemu inaitwa Majengo, nilimkuta dogo mmoja ustadhi anayeswali msikiti huo huo ila yeye anasoma Udaktari Rufaa Mbeya, nikamuuliza kuhusu hilo swala akabaki anajiuma tu.
Ushauri: Vipi kama mkikubaliana kama misikiti ishatosha, hivyo hizo pesa za Waarabu mzitumie kuwasomesha hao watoto, muwapeleke shule nzuri za kislamu wapate elimu zote kwa pamoja kuliko kuforce kujenga misikiti sehemu ambazo uislamu hakuna. Kama Mbeya misikiti mingi ila waumini wa kutafuta, kisa pesa za bure kutoka uarabuni.
Nawasilisha,
Kwasasa nipo Arusha.
SON OF ANDREW
Ninachokisema hapa nimekishuhudia mwenyewe kwa kuwahoji hawa watoto.
Ni hivi, kuna hii trend ya kujengwa misikiti kila sehemu, na hii inatokana na watu wanaojua namna ya kuzipata pesa za Waarabu kwa kutumia proposal ya kujenga misikiti yenye hostel.
Sasa ishu inakuja kwa hao watoto wanaosomeshwa kwenye hiyo misikiti, asee unakuta wanachukuliwa mikoani huko ndani ndani kwenye familia maskini ambazo zimeshindwa kuwapeleka watoto wao wakapate elimu dunia ya bure ya Magufuli, lakini unakuta hawa mabwana wenye pesa za Waarabu badala ya kuwapeleka shule wakasome vizuri instead wanawachukua hawa watoto ambao hawajui kusoma wala kuandika ila wanapewa elimu ahera peke yake.
Hawa watoto wananyimwa fursa nying sana kwenye maisha yao, kwasababu watabaki kuwa mashehe tu kama fursa peke yake watakayoweza kuifanya ukubwani.
Hili nimelikuta Mbeya mjini sehemu inaitwa Majengo, nilimkuta dogo mmoja ustadhi anayeswali msikiti huo huo ila yeye anasoma Udaktari Rufaa Mbeya, nikamuuliza kuhusu hilo swala akabaki anajiuma tu.
Ushauri: Vipi kama mkikubaliana kama misikiti ishatosha, hivyo hizo pesa za Waarabu mzitumie kuwasomesha hao watoto, muwapeleke shule nzuri za kislamu wapate elimu zote kwa pamoja kuliko kuforce kujenga misikiti sehemu ambazo uislamu hakuna. Kama Mbeya misikiti mingi ila waumini wa kutafuta, kisa pesa za bure kutoka uarabuni.
Nawasilisha,
Kwasasa nipo Arusha.
SON OF ANDREW