Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,230
- 10,201
Walikuwa wanatarajia kuandamana kuhamasisha wananchi wasichague CCM, Wanadai CCM iliwahadaa katika ILANI yake ya mwaka 2005 ya kuanzisha mahakama ya kadhi.
Afande kova anasema kuwa Mufti wa Tanzania ameshalitolea ufafanuzi suala hilo so No Maandamano..
Ha ha habari ndo hiyo, haha...habari ndo hiyo
Afande kova anasema kuwa Mufti wa Tanzania ameshalitolea ufafanuzi suala hilo so No Maandamano..
Ha ha habari ndo hiyo, haha...habari ndo hiyo