Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,502
- 19,313
inawafaa sana wale kule zanzibar wanao pita wakiwauliza wenzao kama "mmefunga", au wale waliofunga mikahawa na kuwatangazia watu kwamba wamefunga, wale wanaonawa na kuvaa kanzu safiii na kutembea kwa upole upole ili watu wawaone kuwa wamefunga.Hii tunaipita kama hatuioni.