Sonofthemajesty
Member
- Dec 3, 2012
- 55
- 20
Udini utakuwa petrol na Siasa itakuwa kiberiti in 2015 elections...tuombe Mungu sana!
Kwani wakati wanawachagua, kila mtu alikuwa na kura ngapi...??? Hiyo hiyo moja ndo iloyokuwa inawapa ushindi na hiyo hiyo moja ndo itawanyima ushindiKila mtu Ana kura moja...
unahusishaje chadema kwa mawzo ya mtu usiyemwona hapa jf? Au we mwenyewe ndo unatuchanyia kwa kubadili id?
Mkutano wa Waislamu ulikuwa ukifanyika Mwembeyanga siku ya leo, pamoja na maazimio mengine; umeamua kuwa waislamu wote wasiipe kura CCM 2015 lakini vile vile wametangaza kuratibu maandamano nchi nzima kupinga kile waliichokiita uonevu dhidi ya Sheikh Ponda...
Source: Aloyce Mpandama (The Guardian Reporter) Eneo la Tukio
Kama wataachana na unafiki utakuwa ndiyo mwisho wa mafisadi.
nyinyi wakiristo ndo mko sawa kila siku maaskofu wanalawiti watoto makanisani
mnageuzwa mtaji na kina kakobe
kibwetele kawatoa kafara
kutwa wachungaji wanaukana ukiristo na kusilimu lakini nyinyi hamjiulizi mbona mashehe hawawi wkiristo? Chezea utahira ww!!!
Mmmm, Itakuwa hasira ya mkisi. Wawe wajanja san safafi hii.Hii haitoshi, hawaipi kura CCM halafu wanampa nani? Binafsi naunga mkono huo msimamo, lakini napendekeza wakipe kura chama cha upinzani chenye uwezekano mkubwa zaidi wa kuchukua dola, maana vinginevyo wasije wakaweka misimamo mikali itakayosababisha vyama vya upinzani kugawanyika na kuipa CCM nafasi ya kupenya.
Mmechelewa sana makafiri na vyama vyenu vya kikristo,hivyo ulivyovitaja havipo TZ hapa ipo UAMSHO chenyewe hakisimamishi mgombea ila kitamuunga mkono mtetezi wa waislam na uislamHoja murua kabisa Mkuu! Kama nia yao ni kuinyima kura CCM kwa sababu CCM haitekelezi matwakwa yao kama waislam (au ya kiislam) basi sishabikii chama au kikundi chochote kitakachofurahia upuuzi huu!
Ila kama hawataipigia kura CCM (au chama kingine chochote kama kipo) kwa sababu imeshindwa kutekeleza mahitaji ya WATANZANIA (sio ya waislamu) basi hongera zao. Tusipokuwa makini Brotherhood au Boko Haram inaingia nchini hivyo. Ni heri CCM na madhambi na uchafu wake kuliko vikundi vya kidini ndani ya mwamvuli wa kisiasa.
Ngoja wapewe tshirt, kanga na sh. elfu mbiliSaf sana kwa kujua adui yao ni ccm!
Ni vema waislamu waanzishe chama cha siasa ili tupambane kwenye majukwaa!Saf sana kwa kujua adui yao ni ccm!
Mkutano wa Waislamu ulikuwa ukifanyika Mwembeyanga siku ya leo, pamoja na maazimio mengine; umeamua kuwa waislamu wote wasiipe kura CCM 2015 lakini vile vile wametangaza kuratibu maandamano nchi nzima kupinga kile waliichokiita uonevu dhidi ya Sheikh Ponda...
Source: Aloyce Mpandama (The Guardian Reporter) Eneo la Tukio
walishakula kiapo misikitini cha kumchagua Lipumba muislam mwenzao
kwa azimio lao la leo wanarudia kiapo chao cha awali.
Email this article to a friend Friend's Email Address | |
Your Email | |
Message | |
Submit Cancel |
hilo ndilo tamko lenye manufaa kwa waislam.na wala lisiwe la kuzungumza kwa kujificha itangazwe katika nyumba zote za Ibada waziwazi kwamba iwe ni haramu kwa muislam yeyote kumchagua kiongozi yeyote wa ccm hata kama kiongozi huyo ni muislamMkutano wa Waislamu ulikuwa ukifanyika Mwembeyanga siku ya leo, pamoja na maazimio mengine; umeamua kuwa waislamu wote wasiipe kura CCM 2015 lakini vile vile wametangaza kuratibu maandamano nchi nzima kupinga kile waliichokiita uonevu dhidi ya Sheikh Ponda...
Source: Aloyce Mpandama (The Guardian Reporter) Eneo la Tukio