luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,701
- 8,906
Ametoa wazo zuri kwann misikiti kila kona kwn kuna uhaba wa misikiti?Nadhani kila mmoja anahaki ya kutoa zawadi aitakayo labda kama hili kisheria haliruhusiwi mtanisahihisha.
Wewe ni nani hadi uwaamulie cha kutoa. Wewe tafuta penye eneo jenga hospitali au shule. Mwenyezi Mungu ndiye katijaalia kila tulichonacho.
Kwangu nawaunga mikono...sioni la zaidi zaidi ya kujenga misikiti/nyumba za ibada watu wamwabudu Muumba.
Tusisahau.
-Dini inaleta amani.
-Inaunganisha watu.
-Inaadabisha jamii.
-Inakusanya watu.
Jamaa japokuwa muda mwingine unakuwa popoma lakini linapokuja suala la kuwaamsha hawa jamaa zetu naungana na wewe
Kwan ukijenga shule, hospital watu hawatapata huduma hata baada ya wewe kufa?imeandikwa katika Quran kwamba hapa duniani tukiondoka kitu pekee tutakacho kiacha na chenye manufaa baada ya kuondoka kwetu ni swadakatl_jaalia yaan sadaka yenye kuendelea. kwa mfano:
msikiti-watu wataendelea kusalia hata kama haupo
kisima-watu watakunywa na kutumia maji
mti wa matunda,
mtoto uliempa elimu ya dini, nk.
Hivyo watu wana chimba visima, kijenga misikiti, kupanda miti ya matunda, kununua vitabu vya dini(quran) jua sababu kuu ndo hyo hapo juu. Hasa zaidi ni maandalizi ya kesho baada ya kuachana na uhai wa dunia.
Natumai umenielewa. mengine wataongezea wadau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka Umri huo hujui tu akina nani wanafuga Midevu na Majini??Haya niambie nchi yoyote ya Mashariki ya kati ambako dini imekolea na wana Amani!!!! hata pale kwa ndugu zako Somalia pametulia???Umejuaje kama wanafuga majini kama na wewe hufugi hayo majini?? Pointless kabisa ulivyoandika tu hapo unaonekana ni mtu wa aina gani!!! Kwahiyo dini hazileti amani ndio mnavyofundishwa huko mafundishoni kwenu?
Hatutaweza kuelewana maana kwangu Dini ni kila kitu.Mdau katoa ushauri mzuri, Dini ni upuuzi
Dini inaleta utengano, dini inaleta machafuko, dini ipo kinyume na logic, kinyume na elimu
nchi kama Somalia, Nigeria, Pakistan n.k zina machafuko yasiyoisha sababu ya Dini..Waarabu wamekuwa wakiuawa hapo mashariki ya kati tangu karne na karne sababu ya dini
Ujinga mtupu najua mtasingizia Marekani na Israel huo ni upunguani tu unawasumbua!!!Kwa hiyo Uislamu ndiyo unasababisha machafuko mashariki ya kati?
Nadhani hili laendana na Dini ya mtu.Ametoa wazo zuri kwann misikiti kila kona kwn kuna uhaba wa misikiti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka Umri huo hujui tu akina nani wanafuga Midevu na Majini??Haya niambie nchi yoyote ya Mashariki ya kati ambako dini imekolea na wana Amani!!!! hata pale kwa ndugu zako Somalia pametulia???
Ujinga mtupu najua mtasingizia Marekani na Israel huo ni upunguani tu unawasumbua!!!
Ujingamtupu najua mtasingizia Marekani na Israel huo ni upunguani tu unawasumbua!!!
Lengo kuu la kuumbwa mwanadamu ni kumwabudu mungu.
Kama kuna mabadiliko.tujuzane
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndiyo mnavyofanya mnauana harafu mnasingizia Marekani na Israel kuwa zinawachonganisha!!!Tunaandika mimi nawe umeanza kuwashirilisha wasiokwepo. Hapo hapo na mitusi.