NGUVUMOJA
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,347
- 325
hawa waliofunga na huku wamegoma kutuuzia mafuta ni waislam feki na funga zao ni batili.
acheni udini wenu. Mgomo ni wauza mafuta haijalishi dini zao. Ina maana hakuna wa dini zingine ndani yake????
Mbona wakigoma waalim/madaktari n/k hamtaji dini zao?????
Acheni tabia hiii mbovu.