Waislam Feki

Status
Not open for further replies.
hawa waliofunga na huku wamegoma kutuuzia mafuta ni waislam feki na funga zao ni batili.


acheni udini wenu. Mgomo ni wauza mafuta haijalishi dini zao. Ina maana hakuna wa dini zingine ndani yake????
Mbona wakigoma waalim/madaktari n/k hamtaji dini zao?????
Acheni tabia hiii mbovu.
 
Msipende kukariri kua Waislamu ndio waagizaji wa mafuta hapa nchini,
Kuna wahindi, wasomali, wakaburu n.k,
Halafu udini unaingiaje kwenye mambo ya mafuta?
I'hdi na swira'twal mustakhi'ima ndo njia yetu, hatupitii kwa mtu binafsi
 


kwetu sisi Mtume mohd SAW .... ni mjumbe! SIO MUNGU , yeye mohd SAW ameleta ujumbe kwetu sisi.. katuonesha njia.. yapi mema yapi mabaya... yapi tufanye yapi tuache.. yapi yamekatazwa na yapi yameamrishwa .... Njia ya kwenda peopni kwa muislam ipo mikononi mwake ! kwani ujumbe keshaletewa akiukataa ataenda motoni akiukubali na kuufata ataelekea peponi...!


Mohamad doesn't know the way. Prophet Muham-mad was and is a scam.
‪Uislam ni Daraja la kwenda Jehanam‬‏ - YouTube
 
tunaamini ni NABII.. tuna AMINI atarudi tena kabla ya Siku ya Mwisho ...
hatuamini kama ni mwana wa mungu!
quran inasema sifa moja ya Allah ni
Hakuzaa wala hakuzaliwa

Pia Mungu ni mmoja tu,
hatuamini masuala ya Mungu mtoto, Mungu roho,n.k
 
Hawa waliofunga na huku wamegoma kutuuzia mafuta ni waislam feki na funga zao ni batili.

Naona kama hii mada ilitakiwa iletwe FIVE years ago, pale ambapo hwa waislam walianza kuyuuzia mafuta ya taa badala ya petrol, madhara tuliyiyapata hayaelezeki. Mimi nawaombea Mungu wa kweli awasamehe na awawezeshe kuujua ukweli. PRAAAAAAAAAAISE the Lord!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mkuu Yesu aliwaambia wanafunzi wake yeye ndiye njia ya kwenda uzimani,sasa muhammadi naye atapeleka wa kwake mbinguni kwa njia ipi?

Tujuze vilee.... na wewe ni katika "wanafunzi wa Yesu?????" Ama wewe ni Kondoo wa BWANA?????
 
<font size="3"><span style="font-family: comic sans ms"><br />
<br />
<br />
your heading ( WAISLAM FEKI ) is a lil bit Extreme! ... <br />
</span></font>
<br />
<br />
Lugha gongana, wengine ilim zetu ni za madrasa na msingi hatukuhitimu
 
Mohamad doesn't know the way. Prophet Muham-mad was and is a scam.<br />
<a href="http://www.youtube.com/watch?v=DKmxgVyiTNE&amp;feature=related" target="_blank">&amp;#x202a;Uislam ni Daraja la kwenda Jehanam&amp;#x202c;&amp;rlm; - YouTube</a>

Wale wanaodanganyana kua Mungu ana mtoto ambae cha ajabu eti huyo mtoto nae ni mungu ndio wataenda motoni.

Pia wale wamuombao Mungu kupitia mtu wa kati (dalali) ndio kabisaa watatumika kama kuni kule motoni. Ole wao wamtegemeao Mwanadamu mwenzao ndio awatatulie shida zao za kiroho.

Bila kusahau wale waendao majumba ya Ibada wameupara, kuitia najsi nyumba ya Ibada kwa uchafu bila kujali walikanyaga nini njiani nao Moto unawahusu.

Listi ni ndefu sana,

Wale ambao wameamua kutumia waraka/barua n.k na kuchanganya na Injili kisha wakamsingizia mungu kuwa ni kitabu chake hawa nao ni kuni tu kule motoni.

Bila kuwaacha wale waliotafsiri vitabu hivyo katika lugha mbalimbali za kwao mwisho wakapoteza maana, nao ni moto tu
 
Wale wanaodanganyana kua Mungu ana mtoto ambae cha ajabu eti huyo mtoto nae ni mungu ndio wataenda motoni.

Pia wale wamuombao Mungu kupitia mtu wa kati (dalali) ndio kabisaa watatumika kama kuni kule motoni. Ole wao wamtegemeao Mwanadamu mwenzao ndio awatatulie shida zao za kiroho.

Bila kusahau wale waendao majumba ya Ibada wameupara, kuitia najsi nyumba ya Ibada kwa uchafu bila kujali walikanyaga nini njiani nao Moto unawahusu.

Listi ni ndefu sana,

Wale ambao wameamua kutumia waraka/barua n.k na kuchanganya na Injili kisha wakamsingizia mungu kuwa ni kitabu chake hawa nao ni kuni tu kule motoni.

Bila kuwaacha wale waliotafsiri vitabu hivyo katika lugha mbalimbali za kwao mwisho wakapoteza maana, nao ni moto tu

Vipi kuhusu wale wanao fuata Allah anayesema HAKUNA MUNGU? Je hao ni nani? Maana kolani inasema kuwa MAKAFI wanasema HAKUNA MUNGU. Na allah wa kolani hiyo hiyo anasema hakuna Mungu. Astakafulah
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom