Wairani ni waislamu, siyo waarabu

Wairani ni waislamu, siyo waarabu

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
10,433
Reaction score
17,765
wametekwa tu na uislamu, lkn ni very intelligent people na siyo warabu, na wangekuwa mbali sana kiuchumi, wairani wamechangia mengi na makubwa sana kwenye human civilization kwa sababu walichukuwa uislamu kama dini tu na kukataa uarabu, hiyo ndiyo tofauti na zanzibar, tanzagiza, somalia, libya, maurtania, chad, mali, sudani, pakistani, nk.

nchi zote za warabu zilianguka mara moja baada ya shambulizi la USA angalia libya, irak, siria, somalia na wengineo, hiyo ndiyo tofauti wairani siyo warabu ingawaje ni waislamu …
 
wametekwa tu na uislamu, lkn ni very intelligent people na siyo warabu, na wangekuwa mbali sana kiuchumi, wairani wamechangia mengi na makubwa sana kwenye human civilization kwa sababu walichukuwa uislamu kama dini tu na kukataa uarabu, hiyo ndiyo tofauti na zanzibar, tanzagiza, somalia, libya, maurtania, chad, mali, sudani, pakistani, nk.

nchi zote za warabu zilianguka mara moja baada ya shambulizi la USA angalia libya, irak, siria, somalia na wengineo, hiyo ndiyo tofauti wairani siyo warabu ingawaje ni waislamu …
Unashida wewe mpaka umepoteza uwezo wa kufikiri,Chuki dhidi ya dini hii takatifu itakupa ugonjwa wa moyo
 
Nimeona comment nyingi kwenye mada za vita vya Iran na Israel zinasema Iran ni waarabu.

Nafasi za kujifunza zipo wazi na ni nyingi lakini wabongo sisi hatuwezi kilakitu tunachojua ni kulalamika sana.
 
Unashida wewe mpaka umepoteza uwezo wa kufikiri,Chuki dhidi ya dini hii takatifu itakupa ugonjwa wa moyo
Daa; inawezekana mimi ndio sielewi yaani. Hivi kwenye huo uzi kuna sehemu yeyote ambayo jamaa kaonesha chuki dhidi ya DINI? Ni mimi ndio sielewi labda neno chuki lina maana gani au wewe ndio huelewi? Mfano tuseme hivi, kina MO sio Watanzania wa asili ingawa wanajua baadhi ya lugha zetu za hapa. Hapo nitakua nimeonesha chuki yoyote kwa MO na ndugu zake? Somebody mwenye mtazamo tofauti na hu wangu anieleweshe tafadhari.
 
Nimeona comment nyingi kwenye mada za vita vya Iran na Israel zinasema Iran ni waarabu.

Nafasi za kujifunza zipo wazi na ni nyingi lakini wabongo sisi hatuwezi kilakitu tunachojua ni kulalamika sana.
Wairan wako karibu na wayahudi kuliko hata waarabu ...Ishu ni kwamba wanawatetea wale jamaa pale ila wakina Saudi na vibaraka wengine wanaangalia .
1000103239.png
 

unacheka na kukejeli lkn look at this way, irani imekuwa ikiishi chini ya sanctions tangia mwaka 1979 mpaka leo hii, maana yake haiwezi kufanya biashara kwa uhuru kama tanzagiza, hata mafuta na gesi anauza kwa kujificha, hawezi kusomesha watu wake nje hasa west kirahisi amebanwa kila mahali sasa vs tanzagiza ambapo tunaweza ku trade na yoyote dunia nzima na siyo hivyo tu hata tunaruhusiwa ku export tax free usa na ulaya, watu wetu wanaweza kusoma chuo chochote kile dunia hii lkn bado hata tu kikombe cha kunywea chai hatuwezi kufinyanga udongo na kutengeneza, irani wamejenga ma bunker walikoficha nuclear zao, tanzagiza tunaweza kujenga bunkers ?

 
unacheka na kukejeli lkn look at this way, irani imekuwa ikiishi chini ya sanctions tangia mwaka 1979 mpaka leo hii, maana yake haiwezi kufanya biashara kwa uhuru kama tanzagiza, hata mafuta na gesi anauza kwa kujificha, hawezi kusomesha watu wake nje hasa west kirahisi amebanwa kila mahali sasa vs tanzagiza ambapo tunaweza ku trade na yoyote dunia nzima na siyo hivyo tu hata tunaruhusiwa ku export tax free usa na ulaya, watu wetu wanaweza kusoma chuo chochote kile dunia hii lkn bado hata tu kikombe cha kunywea chai hatuwezi kufinyanga udongo na kutengeneza, irani wamejenga ma bunker walikoficha nuclear zao, tanzagiza tunaweza kujenga bunkers ?

Kijakazi embu acha kuishusha Tanzania kiasi hicho.😁

Wewe kama mtanzania unaweza ukafanya yote hayo uliyosema ni namna bora tu ya kujifunza maarifa.
 
Back
Top Bottom