englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
usiombe kwenda huko na pesa mfukoni utarudi mweupe
uliza baharia yeyote yule aliyefika huko atakupa taarifa yake
Babu kuna vibaka huko?...
nataman siku moja twende wote huko mpenzi wanguBabu kuna vibaka huko?...
huko hakuna vibaka wa kukutesa huwa unazitowa mwenyewe kwa service utakayopewa
samahani Mwanangu hapa ninazungumzia kwa wanaume
nataman siku moja twende wote huko mpenzi wangu
hapana we ndio dodo langu nikikosa utamu unakata diaNenda pekeyo...ukashangae shangae
Mie ata sijaelewa....una maanisha watu wakarimu eeeeh🙄🙄🙄🙄
usiombe kwenda huko na pesa mfukoni utarudi mweupe
uliza baharia yeyote yule aliyefika huko atakupa taarifa yake
Hakuna vibaka kuna wachunaji baabkubwa maana unachunwa huku unachekelea kwi kwi kwii kwiiiiiiiiBabu kuna vibaka huko?...